Kila la heri.
Sina kigezo hata kimoja. Lol.
sifa.
1. Awe DADA mlokole .
2. Awe mzima wa roho na mwili.
3. Asiwe amewahi kuonjesha kwa makusudi.
4. Awe na elimu yoyote.
5. Asiwe mzee sana ( age 18-30).
Deadline 20 january 2012.
Uchumba miezi 6, harusi miezi 9 baada ya kuanza uchumba..
Karibuni .
Kwa makusudi ni aje?? Awe bila kudhamiria/ridhaa yake au??
Kama ni hivo awe alibakwa??
Sijawahi ya kudhamilia hata ile ya koto dhamilia. Ndio maana natafuta mshamba mwenzangu.
hahaaa!! hii kazi, , Kama alibakwa nimemsamehe, tutapima na kama ana qualify sawa haina tatizo.,Lakini yule aliye fanya kwa kudhamilia nimemsamehe lakini hapa hajaqualify.
usiwe na wasiwasi, mimi ni zaidi ya hivyoo nilivyo weka hapo, am smati!!!!!!
sifa.
1. Awe DADA mlokole .
2. Awe mzima wa roho na mwili.
3. Asiwe amewahi kuonjesha kwa makusudi.
4. Awe na elimu yoyote.
5. Asiwe mzee sana ( age 18-30).
Deadline 20 january 2012.
Uchumba miezi 6, harusi miezi 9 baada ya kuanza uchumba..
Karibuni .