Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
View attachment DawazakichinahazifaiakinaDADA.bmp
Wana JF yoyote yule aliye tayari aniPM nimuunganishe na huyu mama anatafuta mchumba kwa udi na uvumba!
Sifa kubwa nikuweza kuhimili turbo hilo maana likifunguka turbo hili kuzima ni Dk 25 baada ya gari kuzima! Fedha anayo ya kujitosheleza ni nyie tu kuchangamkia tenda.
Hiyo yote ni kwa sababu ya mchina, mchina nuksi kweli!
Wana JF yoyote yule aliye tayari aniPM nimuunganishe na huyu mama anatafuta mchumba kwa udi na uvumba!
Sifa kubwa nikuweza kuhimili turbo hilo maana likifunguka turbo hili kuzima ni Dk 25 baada ya gari kuzima! Fedha anayo ya kujitosheleza ni nyie tu kuchangamkia tenda.
Hiyo yote ni kwa sababu ya mchina, mchina nuksi kweli!