Natafuta mwanamke wa kuoa

Feb 11, 2011
71
6
Baada ya kuhangaika kwa muda mrefu bila mafanikio, imenibidi nije hapa jukwaani ili kama kutakuwa na matatizo ya mtu kama mimi basi tuweze kujiunganisha. Nipo serious katika hili na hakuna utani hata kidogo. Natafuta mke mwenye sifa hizi.
1. elimu kuanzia form 6
2. awe mrefu kiasi na si mfupi sana
3. awe mnene mwenye shape nzuri inayovutia
4. awe mkiristo
5. awe tayari kufunga ndoa kanisa langu
6. awe mweupe au langi ya maji ya kunde
7. awe mwaminifu katika mapenzi
8. awe tayari kwenda kupima afya.

mimi ni mrefu, mweupe kiasi na nina shahada moja.

aliye tayari tuwasiliane kwa email hii mtumwamtumwa@yahoo.com
 
Mtumwa wa ukweli, katika swala zima la mwanamke wa kuoa, umeweka kigezo no 1. kama elimu, unahasara katika ndoa yako, either kama huko serious, ndoa haina chuo, ndoa haina mwalimu, ndoa haina mkufunzi bali ndoa njema utaipata kama utapata mwanamke anayemcha Mungu tu basi, kuna faida gani kupata mwanamke form six, then ukimuuliza kitu anakushikia kiuno? Tafuta anayemuogopa Mungu kwanza, vigezo vingine vyote vinapatikana tu, weupo huo unanunuliwa dukani lakini si hekima, utu, na maarifa.
 
Mtumwa wa ukweli, katika swala zima la mwanamke wa kuoa, umeweka kigezo no 1. kama elimu, unahasara katika ndoa yako, either kama huko serious, ndoa haina chuo, ndoa haina mwalimu, ndoa haina mkufunzi bali ndoa njema utaipata kama utapata mwanamke anayemcha Mungu tu basi, kuna faida gani kupata mwanamke form six, then ukimuuliza kitu anakushikia kiuno? Tafuta anayemuogopa Mungu kwanza, vigezo vingine vyote vinapatikana tu, weupo huo unanunuliwa dukani lakini si hekima, utu, na maarifa.


mmmhhhh Susy,mbona we kwako uliweka kigezo cha weupe hukujua unaweza nunuliwa dukani?wewe vigezo uliweka iweje mwenzio asiweke?

Mungu ni mwaminifu,yeye ni baba yetu anasema huwezi omba hiki akakupa kile,anajua matamanio ya mioyo yetu na nani yu sahihi kwetu,daima hawezi kupa mwanamke ambaye huvutiwi nae na kaka yangu endelea kuwa na vigezo vyako,usichukue mwanamke mradi mwanamke,tafuta yule roho inaridhia,la muhimu mtangulize Mungu na uwe na subira,kama Mungu akileta wa tofauti,utakuwa unavutiwa nae na vigezo vyake utavikubali,lakini kamwe usioe mwanamke asiye meet expectation zako,utaumia!!!

Nakutakia kila la kheri......

NB: ingependeza ungeweka nawe vigezo vyako wajue.
 
Leta tatizo lako JF baada ya maombolezo...Yaani watu tunatafakari mustakabali wa mabomu yanayoua raia wema wewe unatuletea mambo ya ngono na ufuska.... unadhani waliofiwa na ndugu zao watakuelewaje ... Si ni kama mwenzio kafiwa wewe unapiga muziki... Tafadhali issue yako iweke on hold kwanza tuongelee suala la Gongo la mboto.
 
Leta tatizo lako JF baada ya maombolezo...Yaani watu tunatafakari mustakabali wa mabomu yanayoua raia wema wewe unatuletea mambo ya ngono na ufuska.... unadhani waliofiwa na ndugu zao watakuelewaje ... Si ni kama mwenzio kafiwa wewe unapiga muziki... Tafadhali issue yako iweke on hold kwanza tuongelee suala la Gongo la mboto.

geophysics.., maisha hayawezi kusimama kwa sababu ya mabomu ya Gongo La Mboto..!
Tunasikitika ndio kwa maafa hayo makubwa lakini hatuwezi ku-stop-isha maisha kwa sababu ya hilo...!
Maisha yanaendelea..!
 
Kuna msichana sijui susy! anatafuta mwanaume mwenye sifa zako za weupe na urefu embu tafuta thread yake.ila mbona huwa hatupati feedback?
 
mmmhhhh Susy,mbona we kwako uliweka kigezo cha weupe hukujua unaweza nunuliwa dukani?wewe vigezo uliweka iweje mwenzio asiweke?

Mungu ni mwaminifu,yeye ni baba yetu anasema huwezi omba hiki akakupa kile,anajua matamanio ya mioyo yetu na nani yu sahihi kwetu,daima hawezi kupa mwanamke ambaye huvutiwi nae na kaka yangu endelea kuwa na vigezo vyako,usichukue mwanamke mradi mwanamke,tafuta yule roho inaridhia,la muhimu mtangulize Mungu na uwe na subira,kama Mungu akileta wa tofauti,utakuwa unavutiwa nae na vigezo vyake utavikubali,lakini kamwe usioe mwanamke asiye meet expectation zako,utaumia!!!

Nakutakia kila la kheri......

NB: ingependeza ungeweka nawe vigezo vyako wajue.

Yaan michelle mie nashangaa comment za watu wengine yeye mwenyewe hapa aliweka hadi rangi hakujua kama mungu yupo na labda kampangia mweusi? Tena nilicoment kabla sijasoma post yake nisingemwambia jamaa amtafute. ama kweli nyani haoni kund...e
 
Leta tatizo lako JF baada ya maombolezo...Yaani watu tunatafakari mustakabali wa mabomu yanayoua raia wema wewe unatuletea mambo ya ngono na ufuska.... unadhani waliofiwa na ndugu zao watakuelewaje ... Si ni kama mwenzio kafiwa wewe unapiga muziki... Tafadhali issue yako iweke on hold kwanza tuongelee suala la Gongo la mboto.

Tuna huzuni mkuu, lakini sio kilakitu kisimame (makinda style), lazima tuendelee kutatua hata matatizo mengine...
 
Good luck ila jamani muwe mnatupa matokeo,ili na mimi nikiwa tayari,na mimi niweke application yangu humu humu. maana i've got the feeling wangu na mimi yumo humuhumu.
 
Leta tatizo lako JF baada ya maombolezo...Yaani watu tunatafakari mustakabali wa mabomu yanayoua raia wema wewe unatuletea mambo ya ngono na ufuska.... unadhani waliofiwa na ndugu zao watakuelewaje ... Si ni kama mwenzio kafiwa wewe unapiga muziki... Tafadhali issue yako iweke on hold kwanza tuongelee suala la Gongo la mboto.

Ngono na Ufuska viko wapi? kutafuta mwanamke wa kuoa ni ufuska na ngono?baba yako alivyokuwa anamtafuta mama yako ilikuwa ufuska na ngono???? heshimu wenzio.....tunasikitika sana yaliyotokea gongo la mboto na tunawaombea lakini maisha yetu lazima yaendelee!!!
 
Leta tatizo lako JF baada ya maombolezo...Yaani watu tunatafakari mustakabali wa mabomu yanayoua raia wema wewe unatuletea mambo ya ngono na ufuska.... unadhani waliofiwa na ndugu zao watakuelewaje ... Si ni kama mwenzio kafiwa wewe unapiga muziki... Tafadhali issue yako iweke on hold kwanza tuongelee suala la Gongo la mboto.


Mkuu hatuwezi simamisha shughuli zote kisa Gongo la Mboto.

Una maanisha tushinde tunalia na kuomboleza bila kufanya kazi na majukumu mengine??

Kweli ni janga lakini maisha lazima yaendelee
 
Yaan michelle mie nashangaa comment za watu wengine yeye mwenyewe hapa aliweka hadi rangi hakujua kama mungu yupo na labda kampangia mweusi? Tena nilicoment kabla sijasoma post yake nisingemwambia jamaa amtafute. ama kweli nyani haoni kund...e

Mie nawaambia humu jokes ni nyingi kuliko ukweli ndo maana watu wanasahau walichopost na kuomba ushauri
 
Mtumwa wa ukweli, katika swala zima la mwanamke wa kuoa, umeweka kigezo no 1. kama elimu, unahasara katika ndoa yako, either kama huko serious, ndoa haina chuo, ndoa haina mwalimu, ndoa haina mkufunzi bali ndoa njema utaipata kama utapata mwanamke anayemcha Mungu tu basi, kuna faida gani kupata mwanamke form six, then ukimuuliza kitu anakushikia kiuno? Tafuta anayemuogopa Mungu kwanza, vigezo vingine vyote vinapatikana tu, weupo huo unanunuliwa dukani lakini si hekima, utu, na maarifa.

Kwa hiyo na wewe weupe wako ni wa kichina? Angalia kipodozi kitadunda
 
Duh!
watu kwa ulalamishi bana! na mie nimecoment the way alivyocoment kwenye post yangu!!
 
Mtumwa wa ukweli, katika swala zima la mwanamke wa kuoa, umeweka kigezo no 1. kama elimu, unahasara katika ndoa yako, either kama huko serious, ndoa haina chuo, ndoa haina mwalimu, ndoa haina mkufunzi bali ndoa njema utaipata kama utapata mwanamke anayemcha Mungu tu basi, kuna faida gani kupata mwanamke form six, then ukimuuliza kitu anakushikia kiuno? Tafuta anayemuogopa Mungu kwanza, vigezo vingine vyote vinapatikana tu, weupo huo unanunuliwa dukani lakini si hekima, utu, na maarifa.
:coffee::coffee::coffee:

mmmhhhh Susy,mbona we kwako uliweka kigezo cha weupe hukujua unaweza nunuliwa dukani?wewe vigezo uliweka iweje mwenzio asiweke?

Mungu ni mwaminifu,yeye ni baba yetu anasema huwezi omba hiki akakupa kile,anajua matamanio ya mioyo yetu na nani yu sahihi kwetu,daima hawezi kupa mwanamke ambaye huvutiwi nae na kaka yangu endelea kuwa na vigezo vyako,usichukue mwanamke mradi mwanamke,tafuta yule roho inaridhia,la muhimu mtangulize Mungu na uwe na subira,kama Mungu akileta wa tofauti,utakuwa unavutiwa nae na vigezo vyake utavikubali,lakini kamwe usioe mwanamke asiye meet expectation zako,utaumia!!!

Nakutakia kila la kheri......

NB: ingependeza ungeweka nawe vigezo vyako wajue.
Napokupendea Michellle wangu....ni kama hapa!

Duh!
watu kwa ulalamishi bana! na mie nimecoment the way alivyocoment kwenye post yangu!!
Ebo!
 
ni kweli lazima maisha yaendelee hata kama kutatokea nini, nashukuru kwa ushauri wenu ila hadi sasa matokeo ni bila bila, mimi sina utani katika hili, namaanisha kabisa, nasaka mwandani, mnaoleta utani siwaelewi, matokeo nitawapeni, pia nilisahau kigezo cha umri, awe kati ya 20-26.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom