Mtumwa wa kweli
Member
- Feb 11, 2011
- 71
- 6
Baada ya kuhangaika kwa muda mrefu bila mafanikio, imenibidi nije hapa jukwaani ili kama kutakuwa na matatizo ya mtu kama mimi basi tuweze kujiunganisha. Nipo serious katika hili na hakuna utani hata kidogo. Natafuta mke mwenye sifa hizi.
1. elimu kuanzia form 6
2. awe mrefu kiasi na si mfupi sana
3. awe mnene mwenye shape nzuri inayovutia
4. awe mkiristo
5. awe tayari kufunga ndoa kanisa langu
6. awe mweupe au langi ya maji ya kunde
7. awe mwaminifu katika mapenzi
8. awe tayari kwenda kupima afya.
mimi ni mrefu, mweupe kiasi na nina shahada moja.
aliye tayari tuwasiliane kwa email hii mtumwamtumwa@yahoo.com
1. elimu kuanzia form 6
2. awe mrefu kiasi na si mfupi sana
3. awe mnene mwenye shape nzuri inayovutia
4. awe mkiristo
5. awe tayari kufunga ndoa kanisa langu
6. awe mweupe au langi ya maji ya kunde
7. awe mwaminifu katika mapenzi
8. awe tayari kwenda kupima afya.
mimi ni mrefu, mweupe kiasi na nina shahada moja.
aliye tayari tuwasiliane kwa email hii mtumwamtumwa@yahoo.com