grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,442
- 5,807
Mimi ni kijana mwana JF mwenzenu najitokeza kwa mara ya kwanza kutokea DSM kutafuta mwanadada/msichana mrembo wa kunifaa. Sifa zangu ni; Umri miaka 34, Kabila Mtanzania, Mtoto wa mkulima anayekwenda na wakati, Urefu ft 6, Elimu ya chuo. Kwa kuwa mimi napenda kusoma,kupumzika/kutoka sehemu tulivu na kubadilishana mawazo ya kimaendeleo nk. Ningependa na yeye awe na sifa zifuatazo; Kabila lolote, Mrefu kidogo, Umbo la kiafrika, Asiwe mpenda vitu bali mpenda Utu maana mimi ni mtoto wa mkulima sio wa wenye vijisenti, Aliyenizidi Umri kidogo sio shida kwani ni namba tu ila wa chini yangu ni bora zaidi. Thanx-:A S-rose: