Mimi ni kijana mwana JF mwenzenu najitokeza kwa mara ya kwanza kutokea DSM kutafuta mwanadada/msichana mrembo wa kunifaa. Sifa zangu ni; Umri miaka 34, Kabila Mtanzania, Mtoto wa mkulima...
HABARI ZENU WANA JF.POLENI NA MAJUKUMU YA HAPA NA PALE,KWA HESHIMA NA TAADHIMA KWA WALE MASINGLE MEN AND MASINGLE LADIES WHO ARE AVAILABLE AND THEY ARE SEARCHING THE REALY PARTNERS JUST CLICK THIS...
Jamani Wadau Nilikua Naomba Ushauri Wenu. Nasikia Hata Aibu Kupost This, Bt I Don't Have A Choice.. I've Encountered A Problem I Never Expected.. My Girlfriend Says I'm Too Big!! I'm Sure Wengi...
Nenda kaangalie avatar ya Cheusi mangala, kama una sifa zinazofanana na hiyo avatar nitafute kwenye facebook. Isaac Emanuel Qaymo.
Usiwe mwanafunzi wa primary au secondary, nisije nikaozea...
Mchumba anayenifaa ni kutoka usukumani.
Education Level: at least 4m 4 nakuendelea.
Colour: As usual Natural asiwe wa kpaka KALORAITI
RELIRIGION: CHRISTIAN.
BODY STRUCTURE: Umbo la kwaida co mnene...
Wana jf heshima zenu kwanza.Natafuta mweza awe kuanzia miaka 23-27,Elimu form six.Mimi kwa sasa niko ughaibuni nasoma nategemea kurudi Tanzania mwakani by july nima miaka 29.Kwa yeyote...
Nimeamua kutatafuta mchuchu mzuri, ila awe anatokea mwanza, pls kama yupo kwenye jf itakua pouwaa wadau! Msiponde sasa cause am serious jamani. Age kuanzia 18 hadi 30.
Hi to all,
kwa mara ya kwanza najitokeza.
Yaah mim ni kijana wa kiume natafuta mwanamke awe anaumbo la unene wa wakawaida, urefu wa kawaida, dini yeyote. Umri uwe kati ya miaka 18-23...
Mimi ni Mwanaume,naishi Dar ,ni Mtanzania halisi,natafuta mchumba mwenye umri kuanzia miaka 19-24.Umri wangu ni miaka 34.Sibagui dini wala kabila,mimi ni Muislamu,ninafanya kazi kama mhandisi.kwa...
Nimekaa mpweke kwa muda sasa lakini natafuta mchumba(msichana) mwenye vigezo vifuatavyo:
Umri: 18-21
Shule: Awe amesoma/anapenda kusoma/ anapenda kujiendeleza
Dini: Yoyote ilimradi tutaishi kwa...
Mie ni kijana wa kinyamwezi tena dume la mbegu, dozi yangu kutwa mara 3...nina umri wa miongo mitatu na robo, sina elimu ya kutosha kupambana na ugumu wa maisha. Nina vipaji vya ufundi wa vifaa...
Naitwa Amina,naishi dar,umri wngu miaka 26, ni muislamu,sijaolewa wala sijazaa,natafuta mchumba ambae atakuwa mume wangu, mwenye umri kuanzia miaka 28 hadi 35,awe mcheshi,mwenye hekima,mpole, awe...
Inanipa wakati mgumu kumchagua ni yupi niwe naye ktk maisha yangu kama BABA na MAMA. Kinachonipa ugumu ni maisha niliyo yaexpirience hapa Chuoni ambapo kwa Asilimia mia moja ya wanawake, asilimia...
Sifa za mchumba:
1,Awe na Elimu ya kuanzia Chuo na kuendelea
2,Awe maji ya kunde(kwa rangi)
3, Awe mrefu kuanzia ft 4-5
4,Kabira lolote
5,Awe tayari kunipenda jinsi nilivyo
6.Dini (Muumini wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.