Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi ni ME mwenye umri wa miaka 28. Natafuta mchumba vigezo vifuatavyo. Mchapakazi Umri wa kuanzia miaka 24-26 Mwenye mwili wa ukubwa wa wastani Rangi ya kunde Mrefu wa wastani Elimu yoyote...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Am mohamed 24 nipo dar natafuta mchumba umri kuanzia 25-35 dini yoyote sichagui kabila elm yoyote ila awe mwenye kujishughulisha,me ni muajiriwa kwnye clinc moja hapa jijini plz km upo cirius...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
natafuta mrembo tuwe wapenzi,uhusiano wetu uwe wa simu zaidi
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna tofauti gani kati ya tabia za play boy na mwanamke malaya, je anchokifanya play boy ni sahihi na sio kama uhuni anaoufanya mwanamke malaya.. COMENT
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu ndugu zangu Mimi ni mwanaume miaka28 natafuta mwanamke WA KUISHI NAYE MAISHANI anayejitambua ambaye atakuwa rafiki yangu kwa mwaka mmoja, tukiendana ndoa itafungwa 2014. Naomba awe...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Natafuta side b of mine. Cjalishi umri ila ni vzuri awe mtu wa kanda ya masharik ili isiwe ngumu kukutana. I'm always real
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Natafuta mchumba wa kike mwenye sifa zifuatazo: 1.Awe na heshima 2. Awe mvumilivu 3. Mchapa kazi 4. Mwenye huruma 5. Awe mweupe wa wastani 6. Awe na mwili wenye ukubwa wa wastani 7. Awe na urefu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jana nilitoa tangazo katika safu hii. Jamani niko sirias. Leo narudia tena. Natafuta mchumba mwenye heshima,huruma, uvumilivu, mchapakazi, mweupe wa wastani, mwenye mwilli wenye ukubwa wa wastani...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
mimi ni kijana wa kiume (23) natafuta mchumba dini yoyote.... kabila mchaga, awe amfika angalau form six........... umri awe na miaka 18-23...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mimi ni kijana mtanashati, mtiifu, mpole, na mwenye kujali hisia za mtu. umri wangu ni miaka 24. natafuta rafiki wa kike(girlfriend) na kama ikitokea nikaendana nae kitabia basi awe mke wangu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari JF. Mimi ni kijana na umri wa miaka 25, Mtanzania, dini Mkristo RC,elimu mwaka wa 3 degree ya IT. Natafuta msichana anayependa maendeleo na chapa kazi.Sina ubaguzi wowote kwan wote ni wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
natafuta rafik wa kike,umri kati ya miaka 22 had 24 na awe mkristo na ambaye yupo tayar kuwa nam
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naitwa Haji Rashid,,,,nina miaka 23,,ni mweupe kidogo{maji ya kunde},,,urefu ft,5.6,,,umbo langu ni la kawaida,,natafuta msichana mrembo awe na miaka 18/23,,,anayejitambua vizuri,asiwe mapepe,awe...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
kwanini watu huwa wanaumia sana katika suala zima la mapenzi?
0 Reactions
2 Replies
988 Views
Mi ni kijana nadhifu Natafuta msichana awe maji ya kunde, miaka 24-27,mkristo, msomi angalau Diploma,mcha Mungu, mwenye kujituma,mwaninifu mtii,mpole wastani Asiwe mlevi,mvuta sigara, Mi ni...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Natafuta mchumba sifa awe na heshima pia mavazi ya kujieshimu umri 20-30 ukijiona unasifa hizo usisite nitafute kupitia 0713422764
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Natafuta msichana wa kunifundisha maana ya kupenda. Angalizo-ni kwa wasichana peke yake.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
rb
:A S-cry: nobody chat wit meh why
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Pm if serious
0 Reactions
7 Replies
1K Views
habari ndugu, mimi ni kijana wa kume ninaye tafuta binti ambaye twaweza kushabiiana na kupatana vyema kisha tujenge family ABOUT ME: Umri:29 kabila:mjaluo/mmasai Kazi:mwajiriwa Rangi:mweusi japo...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Back
Top Bottom