Wadau, habari za jioni. Kabla sijatoa hoja napenda nianze kwa utangulizi. Nimekuwa member hapa JF kwa muda kidogo, naamini ni sehemu ambayo kuna mkusanyiko wa watu wengi ambao ni wastaarabu na...
Mimi ni kijana wa kiume ninaishi Dar Es Salaam natafuta mke wa kuoa.
Kwa hiyo nimeona leo nije hapa kuona kama nitapata ninachohitaji
Natafuta msichana ambaye yupo tayari (serious) kuolewa...
Hey.
Nina mke na watoto3,sasa naitaji kuongeza mke wa pili.dini yangu ni islamic,awe muislam pia aliyesoma dini japo kidogo.
Elimu ya dunia ni japo kiwango cha kujua kusoma na kuandika.
Umri...
Natafuta rafiki wa kike kwa ajili ya kubhat nae pia aweze kuwa mpenzi wangu, awe na umri kuanzia miaka 18 hadi 23. awe na asili ya kiarab au msomali au asili ya mzanzibar. Mimi naishi...
vigezo na mashaliti: 1. awe christian na awe mcha mungu 2. awe anatoka kanda ya ziwa 3. awe atleast na diploma yoyote bali isiwe polisi, mwanajeshi, nurse na kazi yoyote ya usiku 4. age range...
salaam,
nahitaji mchumba/mke
anayejiheshimu/muaminifu
mpenda maendeleo.
we can opt for ndoa ya serikali if islam
mmi ni mkristo safi, 30 years,umri wake uzingatie hili
frangerry1@gmail.com
Nakumbuka ilikuwa cku ya j4 ucku wa kuamkia j5 tulipokuwa tunajiandaa na mtihani wa jiografia,ndipo nlipopigiwa cmu n binti akiniomba aje tudiscuss naye akidai kuwa hlo somo lilikuwa gumu kwke...
nipo seriouz nahitaji mtu wa kusaidiana nae maisha mwenye vigezo vifuatavyo:-
age: 22 to 27
education: at least form 4 with valid credits
body type : slim and moderate tall
religion: christian of...
Nilikuwa na girfrnd tangu nlipoanza kdto cha kwnz n tulkuwa tunapendana sana! Baadaye nlipoingia kdto cha II,nliamua kuhama shule na ilikuwa n nje ya mkoa mwka 2009! Bahati mbaya hakuwa na cmu n...
Naitwa Hussein Juma wa Shy-town n nina umri wa miaka 21 sasa! Nimehtimu kidato cha nne mwka jana na nimefaulu kuendelea na masomo ya kidato cha tano&sita hvyo nasubr selection nipangiwe! Napenda...
Kuna mdada tuna kaa nae kitaa,ana miaka 24 ana hitaji mchumba kuanzia miaka 26 na kuendelea,hachagui dini wala kabila,kwa mwanaume aliye tayari awasiliane naye kwa namba zifuatazo,0789 555588 au...
Kama wewe ni msichana wa umri tajwa hapo juu tuwasiliane kama unataka kuolewa mwaka huu lakini uwe mwenyeji wasingida au tabora kabisa,uwe tayari kupima,uwe tayari kutumia muda wako kujua ukweli...
Anahitajika msichana mwenye umri wa miaka 19 hadi 23 awe na sifa zifuatazo:- anaye jipenda, muelewa, mwenye fikra chanya na aliye na msimamo, urefu wa futi 5.5 na kuendelea, asiwe mnene au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.