Nipo morogoro chuo kikuu sokoine,natafuta mchumba wa kuoa.Nina umri wa miaka 29.sichagui rangi wala kabila.Awe mkristu.Aliye tayari tuwasiliane kupitia email josephmtonga@ymail.com
habari jf.mimi ni kijana umri wangu kati ya 26-30 natafuta mke wa kuoa awe muislam mwenye heshima awe anaswali walau hata ijumaa.awe na upendo wa dhati pia awe anajua nini maana ya maisha sio awe...
'The power of asking'
asking whtever u want and u might get it.
Let me take ths chance as a very important oportunity in my life to scream out loudly asking if there is a someone to mary me...
Ivi watu wanao tafuta wachumba apa jf wanafanikiwa, na wanawapata wa dizaini ileile waliokua wanaitaji,au inakuaje kwawalio fanikiwa mpaka wakafunga ndoa ebu tujuzeni.
Ifuatayo ni sehemu ya sms niliyoiona kwenye simu ya rafiki yangu jana jioni:-
MESSAGE:- Amini kwamba ni wewe pekee uliyemo ndani ya moyo wangu.
RECIPIENTS:- Amina, Chiku, Rose, Conso, Asha...
HABARI ZENU WANA JF Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 26 natafuta rafiki wa kike sifa zangu 1.mrefu 2.white 3. Nina kifua kipana 4 .nimejazia 5. Siyo bausa 6. Mpole 8. Mcheshi 9. Sijui...
habari jf.mimi ni kijana umri wangu kati ya 26-30 natafuta mke wa kuoa awe muislam mwenye heshima awe anaswali walau hata ijumaa.awe na upendo wa dhati pia awe anajua nini maana ya maisha sio awe...
Jina Langu: Tina
Jinsia yangu: mwanamke
Umri wangu: kati ya miaka 32 - 36
Natafuta: rafiki wa kiume kwa ajili ya long term relationship
Umri wake: uwe miaka kati ya 33 - 37
Jinsia ya rafiki: awe...
Nimetembea dunia mashariki na magharibi,,nimetembea mataifa kumi na moja katika maisha yangu,nimelala na wanawake wanaozidi mia moja,,,wakuu naombeni niulize swali,,nina umri wa miaka 37 na...
Nina miaka 23
nipo mwaka wa mwisho KCMC,
natafuta mwanamke kuanzia miaka 35 mpaka 45,awe na kazi pia kama ana watoto wawe ni wakike tu pia wawe na miaka kuanzia 18 kwenda mbele!
SERIOUS......
Natafuta msichana wa Kitanzania mwenye umri wa kati ya miaka 23-29..mkristo...msomi...mzuri wa sura,umbo na tabia na awe tayari kupima VVU. Mwenye sifa hizo please ajitokeze
last night I had a sex with mzee moja we just met natulipo kwenda hotel kufanya kitu chawakubwa kinga ikapasuka na sitaki mtoto for now sababu bado natafuta hela jee niledawa ya kuzuia mimba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.