Schrodinger Cat
Member
- Nov 23, 2011
- 34
- 2
Natumaini hamjambo wapendwa wanajamvi..mie ni kijana wa early 30s niko Arusha, mwajiriwa wa kipato cha kati, mkristu.
Natafuta mwandani wa ubani mwenye kujitambua, ideally please be:
1. 20-29 years old,
2. in Arusha au uwe tayari kuhamia itakavyokupendezea
3. sio mnene
4. si mpenda-makuu na mkweli
5. mwenye staha na msafi
6. and most importantly, be normal.
Mwanadada mwenye matazimio kama yangu anitumie msg na tutawasiliana zaidi kutokea hapo.
Please, no games
Natafuta mwandani wa ubani mwenye kujitambua, ideally please be:
1. 20-29 years old,
2. in Arusha au uwe tayari kuhamia itakavyokupendezea
3. sio mnene
4. si mpenda-makuu na mkweli
5. mwenye staha na msafi
6. and most importantly, be normal.
Mwanadada mwenye matazimio kama yangu anitumie msg na tutawasiliana zaidi kutokea hapo.
Please, no games