Dini yako.Natafuta mwanaume,ambae ataniamini,natafuta mwanaume ambae atakuwa hana mashaka na mimi ambaye atakuwa anaamini mimi ni mwanamke mkweli kwake yeye,mawasiliano yangu haya hapa mwadisai@gmail.com nitajibu email tena kwa haraka
Katika waliowahi kunipa masharti magumu, wewe ni wa kwanza....! Hakika mimi umenikosa....! It is because what I believe is that; "In exception to trust my Lord, it is non of my business to trust anyone, but it is my responsibility to be trustful to every one....." So, kwangu mimi ni rahisi kuwa mwaminifu kwa kila mtu, lakini si kumwamini hata mmoja....! Hope umenipata mama...!Natafuta mwanaume,ambae ataniamini,natafuta mwanaume ambae atakuwa hana mashaka na mimi ambaye atakuwa anaamini mimi ni mwanamke mkweli kwake yeye,mawasiliano yangu haya hapa mwadisai@gmail.com nitajibu email tena kwa haraka
kama unamtafuta kimwana basi huyu umemkosa si kimwana bali KIMAMADini yako.
Umri wako.
Kazi yako.
Short history.
Then ntakucheki kwa email bcoz nami natafuta kimwana.