Natafuta mwanaume ambae ataniamini.

Mwadi

Member
Aug 9, 2012
6
0
Natafuta mwanaume,ambae ataniamini,natafuta mwanaume ambae atakuwa hana mashaka na mimi ambaye atakuwa anaamini mimi ni mwanamke mkweli kwake yeye,mawasiliano yangu haya hapa mwadisai@gmail.com nitajibu email tena kwa haraka
 
Kuna mwanaume alishakuambia kuwa huaminiki?
Sio mkweli?

Nitarudi, tena maana dalili zinajionesha naweza kuwa mimi:loco:
 
Akuamini hata kama huaminiki?

Mbona umekimbilia huko una biashara gani wewe mpk kuaminiwa kiwe kigezo?

Mtu huaminika kwa namna anavyojichukulia. Nahisi wewe hushikiki ndio maana huaminiki
 
Natafuta mwanaume,ambae ataniamini,natafuta mwanaume ambae atakuwa hana mashaka na mimi ambaye atakuwa anaamini mimi ni mwanamke mkweli kwake yeye,mawasiliano yangu haya hapa mwadisai@gmail.com nitajibu email tena kwa haraka
Dini yako.
Umri wako.
Kazi yako.
Short history.
Then ntakucheki kwa email bcoz nami natafuta kimwana.
 
Natafuta mwanaume,ambae ataniamini,natafuta mwanaume ambae atakuwa hana mashaka na mimi ambaye atakuwa anaamini mimi ni mwanamke mkweli kwake yeye,mawasiliano yangu haya hapa mwadisai@gmail.com nitajibu email tena kwa haraka
Katika waliowahi kunipa masharti magumu, wewe ni wa kwanza....! Hakika mimi umenikosa....! It is because what I believe is that; "In exception to trust my Lord, it is non of my business to trust anyone, but it is my responsibility to be trustful to every one....." So, kwangu mimi ni rahisi kuwa mwaminifu kwa kila mtu, lakini si kumwamini hata mmoja....! Hope umenipata mama...!
 
Mimi nipo tayari lakini baada ya kupata professional clearance katika yafuatayo>

  • elimu yako
  • umri
  • kazi yako
 
Mi nimeoa lakini nakupa chance ya kukufariji bureeee, usitegemee materials but tegemea faraja ya kweli - take it serious
 
JF inahitaji mental health professionals na ukumbi wa ushauri nasaha naona.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom