kwa aliyetendwa kama mimi
Ili tuweze kufutana machozi,
Ili tusaulishane yalotukuta,
pia tupange PRESENT, FUTURE yetu na tusahau yalopita.
a garl aliyepitia nilopitia ANAKARIBISWA!!!...
Awe rafiki sana:
-Niweze kumuamini na kumtegemea pale inapobidi
-Niweze kuzungumza naye hisia zangu bila kificho
-Tushirikiane katika hali mbalimbali inapofaa
-etc..
Ikiwezekana awe mke kabisa...
Salam wana JF. Mimi ni mwanamke mwenye umri miaka 48 ambaye naishi na VVU natafuta mwanaume wa kuishi nae au kufunga ndoa, kama yupo tayari. Awe na umri kuanzia miaka 50-55, kwa ufupi nilikuwa na...
natafuta mwanamke wa kuoa kwa ndoa nikipendana nae nikiamini kuwa Mungu atanisaidia. Sifa zake: awe mweupe, miaka 18 hadi 23, mwenye elimu kuanzia O-level, au aliyeajiriwa, mkatoliki...
Kuelekea kwa show kubwa inayokuja ya p-squre, ninatoa kama zawad, kama wewe ni a lady na unapenda kujirusha na burudan na ku-have fun , na mostly hauko kwenye serious relationship ama single, siku...
natafuta mwanamke wa kuoa kwa ndoa nikipendana nae nikiamini kuwa Mungu atanisaidia. Sifa zake: awe mweupe, miaka 18 hadi 23, mwenye elimu kuanzia O-level, au aliyeajiriwa, mkatoliki...
Habari zenu wana jf! Mimi ni mwanaume rijali na nina miaka 26: ninatafuta rafiki wa kike mwenye umri wa kuanzia miaka 20-35! Awe mwenye uwezo wa kuchat love-sms kwa muda wowote unaotakiwa, pia...
nina umri wa 25yrs ila natafuta mpenzi wa kike umri kuanzia 30 na kuendelea coz hawa huwa na mapenzi ya dhati siyo visister duu vyetu am tired of them.
Aliye tayari anicheki...
Natafuta rafiki wa kiume, company tu nothing much. akiboreka and needs my company nitakuwepo na mimi nikiboreka nikimuhitaji awepo. ila strictly no jigjig. rafiki wa ukweli kama wa kike vile...
just a friend, wakubadilishana mawazo hasa yakimaisha na changamoto tulizo nazo vijana,
Jinsia yeyote
Umri wowote.
0757157725 sms, calls na whatsApp.
juma.magombe@yahoo.com Email...
habari wadau, mimi ni msichana mwenye sura mbaya kadiri ya maoni ya wengi, umbo baya, lakini roho ya ukatili sina na ni mcheshi, kugombana na mtu sijui. nataka rafiki wa kiume awe na umri miaka...
Natafuta rafiki wa kiume mwenye umri kuanzia miaka 36, hadi 45, mwanamume aliye mseja atafaa zaidi au mjane, awe msomi mwenye kazi yoyote yenye kipato cha halali, awe anaishi dar, mie ni mkazi wa...
mimi ni kijana natamani sana niwe na mpenzi lakini kila ninae mpata anaishia kunichuna nikiwaomba mambo wananipa sababu zisizo na msingi mfano mmoja nilimpata tukaingia mpaka gest jamaa akadai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.