Mambo zenu Wadau mlio jukwaani
Nahitaji Marafiki tunaoweza kuchat,kufahamina,nakubadilishana mawazo mbali mbali ya michakato ya maisha
ikiwezekana hata kupeana namba za mawasiliano.
Alie tayari...
Natafuta garlfriend naejiheshim
sifa zake km ifuatavyo
1, hawe anajiheshim sana
2, hawe mpole asiwe mwingi wa mambo.
3, hawe mwelewa
4, hawe na heshima kwa watu
5, hawe na akili...
Naitwa Rajj nipo nipo Chuga, nina umri wa miaka 25. Natafuta binti wa kiarabu umri kati ya miaka 18-24 kwa ajili mya kumuandaa kuwa mke wangu.
Nitumie meseji no 0766341701 au email...
Nimejaribu kutafiti katika mazingira tofauti kusikiliza katika vyombo vya habari kusoma magazeti kuwauliza watu na shahidi mbalimbali kutoka kwa marafiki zangu lkn wakati mwingine kuona kwa macho...
Habri wanajamvi. Mimi ni kijana aged 25 na miezi kidogo. Nimebahatika kuwa katika mapenzi na msichana mmoja hivi wa age ya 22 kwa sasa na tunapendana sana.Tulibahatika kupata mtoto wa kike ambaye...
Habari wana MMU! Najitokeza kwa mara ya Kwanza kuleta hitaji hili.
Jinsia yangu:Mwanaume; Umri wangu: 28 ;
Elimu Yangu: Degree;
Kazi Yangu: Mwalimu Sekondari;
Makazi yangu Dar es...
Ndg zang polen na majukum...natumain mu wazima wa afya.
Mwenzenu napata wakati mgumu hasa napomwona mwanamke ambaye nampenda,tatzo naogopa kumfuata kwa kujihofia kuwa ntamwambia nini &ntajibiwa...
mimi ni mwanamke nina miaka 30 NIKO LONELY SANA JAMANI I WISH NIWE NA RAFIKI WA KUINJOY JAMANI.AWE SIRIAS JAMANI ninatafuta rafiki wa kiume sio mpenzi wa mambo yafuatayo
1-jmosi tunaenda mlimani...
kusomana tabia kama kweli unafaa/ au nafaa kuwa mumeo,awe ni mwenye akili safi na heshima ya kufaa kuitwa mke wa fulani. Awe tayari kupima afya, umri ni miaka 18-27 sichagi dini, kwani hiyo ni...
Hi JF.
I'm male 34 of age,
5.5" tall, Univ level education, Employed, standard earning, Living in Dar, Looking for wife (Not girl friend).
She should be pretty, Tall, Curved in shape, Not more...
Naitwa Janeth Shawa miaka 29, ninatafuta mchumba mwenye mapenzi ya kweli umri kati ya miaka 29 mpaka 40 ambaye yupo tayari kuingia kwenye ndoa,Ambaye hana mke,akiwa na mtoto au watoto sio...
Hello.
Natafuta marafiki wa kuchat nao na kushauriana maisha.Sichagui jinsia.Sifa awe mtu mzima umri kuanzia miaka 27 hadi 30 ,mwenye hekima na busara,mcha Mungu tutaendana sana na nitawapa...
.Mimi ni msichana umri 21-22 natafuta mpenzi:
sifa;
1.awe na kazi inayotambulika.
2.asiwe mchoyo wala m'binafsi wala mpekee.
3.awe mrefu mnene kiasi na mweusi kiasi
4.awe msafi wa ndani na...
Nipo Geita,natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuish maisha ya ndoa! Sifa zangu nitamwelezea endapo atakuwa tayari na kunitafuta kwa nambari 0759947397.Ingependeza zaidi naye awe maeneo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.