Kama hapa hajakuelewa atakuwa na matatizo ya akiliShida moja ya vijana wa siku hizi wanataka wenza ambao tayari wameshawaumba vichwani mwao, kwahiyo inapotokea tofauti mikwaruzano huanza na hatimaye mahusiano kuvunjika
kumbukeni hili enyi vijana mwanamke ni kama computer mpya, program utakazoweka ndio hizo utakazotumia usifikiri kuna kitu kitajiweka chenyewe labda virus, nayo ukiiacha huharibu computer yako. formular ya computer ni gabbage in gabbage out, kwahiyo mkeo atakuwa mwema au mbaya kutokana na wewe mwenyewe utakavyomtengeneza
lakini vilevile huoi supermarket kaka kwamba utapata kila kitu kwa mkeo, yeye si malaika naye ni binadamu kama wewe naye si mkamilifu kama wewe kwahiyo inabidi wote wawili mtengeneze middleway itakayokubalika na nyie wote wawili. kwa njia hii mtaishi maisha ya amani na furaha tele
Shida moja ya vijana wa siku hizi wanataka wenza ambao tayari wameshawaumba vichwani mwao, kwahiyo inapotokea tofauti mikwaruzano huanza na hatimaye mahusiano kuvunjika
kumbukeni hili enyi vijana mwanamke ni kama computer mpya, program utakazoweka ndio hizo utakazotumia usifikiri kuna kitu kitajiweka chenyewe labda virus, nayo ukiiacha huharibu computer yako. formular ya computer ni gabbage in gabbage out, kwahiyo mkeo atakuwa mwema au mbaya kutokana na wewe mwenyewe utakavyomtengeneza
lakini vilevile huoi supermarket kaka kwamba utapata kila kitu kwa mkeo, yeye si malaika naye ni binadamu kama wewe naye si mkamilifu kama wewe kwahiyo inabidi wote wawili mtengeneze middleway itakayokubalika na nyie wote wawili. kwa njia hii mtaishi maisha ya amani na furaha tele
Ameonyesha mfano tu siyo kwamba nyie ni computerGood advise kumbe saa nyingine unakuwaga na akili ee
Umekosea kitu kimoja tu kutuita computer aarrghhh
shida moja ya vijana wa siku hizi wanataka wenza ambao tayari wameshawaumba vichwani mwao, kwahiyo inapotokea tofauti mikwaruzano huanza na hatimaye mahusiano kuvunjika
kumbukeni hili enyi vijana mwanamke ni kama computer mpya, program utakazoweka ndio hizo utakazotumia usifikiri kuna kitu kitajiweka chenyewe labda virus, nayo ukiiacha huharibu computer yako. Formular ya computer ni gabbage in gabbage out, kwahiyo mkeo atakuwa mwema au mbaya kutokana na wewe mwenyewe utakavyomtengeneza
lakini vilevile huoi supermarket kaka kwamba utapata kila kitu kwa mkeo, yeye si malaika naye ni binadamu kama wewe naye si mkamilifu kama wewe kwahiyo inabidi wote wawili mtengeneze middleway itakayokubalika na nyie wote wawili. Kwa njia hii mtaishi maisha ya amani na furaha tele
nenda ofisini utawakuta wanaotaka kuolewa wapo wengi tu hadi wanamwagiki. utafutaji mwema..Mwenza wa kunifaa,anayejitambua,anayejua wajibu wake,mwenye kauli nzuri,mapenzi ya kweli,tunayeendana(compatible),anayependa watoto,mwenye kunivutia,anayenijali...nitampata wapi mwanamke mwenye sifa hizo?
Nitakuwa muaminifu kwake,siku zote.
Mwenza wa kunifaa,anayejitambua,anayejua wajibu wake,mwenye kauli nzuri,mapenzi ya kweli,tunayeendana(compatible),anayependa watoto,mwenye kunivutia,anayenijali...nitampata wapi mwanamke mwenye sifa hizo?
Nitakuwa muaminifu kwake,siku zote.
Shida moja ya vijana wa siku hizi wanataka wenza ambao tayari wameshawaumba vichwani mwao, kwahiyo inapotokea tofauti mikwaruzano huanza na hatimaye mahusiano kuvunjika
kumbukeni hili enyi vijana mwanamke ni kama computer mpya, program utakazoweka ndio hizo utakazotumia usifikiri kuna kitu kitajiweka chenyewe labda virus, nayo ukiiacha huharibu computer yako. formular ya computer ni gabbage in gabbage out, kwahiyo mkeo atakuwa mwema au mbaya kutokana na wewe mwenyewe utakavyomtengeneza
lakini vilevile huoi supermarket kaka kwamba utapata kila kitu kwa mkeo, yeye si malaika naye ni binadamu kama wewe naye si mkamilifu kama wewe kwahiyo inabidi wote wawili mtengeneze middleway itakayokubalika na nyie wote wawili. kwa njia hii mtaishi maisha ya amani na furaha tele
nakuunga mkono kwa % kubwa, mke mwema hashushwi from heaven bt ni ww utakavyomprogram & ku-mmanage!
Neva wait for already made, perfect wife!
Utakaa sana, nadharia hyo itakupotezeeni mda!