Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
natafuta binti mrembo anaejiheshimu ili awe wife kama una vigezo nicheki kwa 0755919162
0 Reactions
0 Replies
573 Views
Si utani natafuta mchumba ambae ni mfanyakazi katika sekta yoyote ya umma niko siliazi tafadhali nipigie namba hii. 0764556760. piga sasa usije kusahau. awe mkristo.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari, Mimi ni kijana wa kiume, nina umri miaka 30, Nina shahada ya kwanza, Nimeajiriwa (4 yrs now of experience) na nina kipato cha kawaida sana. Natafuta mchumba wa kumuoa ili siku moja awe...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wakuu, Natafuta rafiki wa kike ambaye tutakuwa marafiki then twende level ya uchumba na marriage.nko serious na nina dhamira toka moyoni. Sifa - awe mcha Mungu - miaka 28 and above. -...
0 Reactions
5 Replies
922 Views
Cha muhm asiwe wa kisasa pia asiwe ambaye amewah kuwa na hstoria ya kunywa mayai!
7 Reactions
84 Replies
10K Views
Naanza hivi; Baada ya kuishi pekeyangu kwa muda sasa, nimeamua kujitokeza kwa mara ya kwanza kwenye jukwaa hili kutafuta mke ambaye yuko tayari kuolewa awe na elimu yoyote isipokuwa darasa la...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
mimi ni mdada natafuta rafiki aliyetayari tafadhali tuwasiliane,dini yoyote,umri kuanzia 35-40.mengineyo tuingie chemba:)
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Kwa wadada wenye age below 35,nahitaji mke hata km ana mtt 1,elimu atleast f4.mi ni bizs man elim chuo kikuu.miaka 33.awe na kazi hata km la.ila awe na uwezo wa kufanya kazi bila kusimamiwa.cna...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
natafuta rafiki yeyote, mwanamke au mwanaume
2 Reactions
16 Replies
3K Views
jaman safari yakutafuta mke bado ipo alie tayari,0768964697
0 Reactions
2 Replies
695 Views
Hello, Naitwa Collins nipo dar 28, napenda music(kuimba na kusikiliza), kuogelea,kwenda baharini,kusafiri na kuwa na furaha. Nina elimu ya chuo(degree 1 ya Banking na finance), ninafanya kazi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Natafuta mchumba wa kike yani, awe na umri usiozidi miaka 26 apende kujiajiri/ujasiriamali. msichana ambaye yupo tayari achukue contancts zangu http://www.chatguest.com
0 Reactions
0 Replies
787 Views
Hivi ni kweli watu wanaweza kupata watu sahihi through social networks?? Mara nyingi nasikia watu mitaani na maofisini wakisema huwezi kupata mke safi na mme safi kupitia JF, e.t.c. Sina...
0 Reactions
2 Replies
759 Views
Love connect. connect me with shansarie under whatever price. i love the woman since she wrote to me! I do beleive that she rock enough let be together for better and for worse summer to...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Hivi ni kweli watu wanaweza kupata watu sahihi through social networks?? Mara nyingi nasikia watu mitaani na maofisini wakisema huwezi kupata mke safi na mme safi kupitia JF, e.t.c. Sina uhakika...
0 Reactions
0 Replies
837 Views
Mimi ni kijana mwenye falsafa za kimaisha na huwa napenda kuwashirikisha watu ama kwa kutoa mawazo au ushauri katika jambo lolote about Elimu, Dini, Historia, Siasa n.k ila pia najua kuna mambo...
0 Reactions
8 Replies
918 Views
Am geo Natafuta friends just for charting and have fun Check me out: Wastup. 0754866063 Viber. Facebook and instagram- cremoo
0 Reactions
4 Replies
746 Views
i am a moderately black six feet man, aged 30-35, and moderately black colored, i am a little thin . I am a tanzania of certain tribe(only the interested will get to know),i am a committed...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
natafuta mwanamke wa kuoa kwa ndoa nikipendana nae nikiamini kuwa Mungu atanisaidia Sifa zake: awe mweupe, miaka 18 hadi 23, mwenye elimu kuanzia O-level, au aliyeajiriwa, mkatoliki...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta mke wa kuoa,awe mwalimu shule msingi au secondary,dini mkristo,,awe mwenyeji wa Mbeya..mcha Mungu.urefu kuanzia ft 5.4 na kuendelea.na asiwe mnene sanaaaa"! Call 0787996401
0 Reactions
2 Replies
917 Views
Back
Top Bottom