Nahitaji mwanamke mwenye gari

Nahitaji mwanamke mwenye gari

Mlima meru

Senior Member
Joined
Dec 30, 2012
Posts
114
Reaction score
20
Wapendwa
Naona msimu wa mvua umeanza na sikuweza kukamilisha dream yangu ya kuwa na gari.

Kama yupo mwanamke mwenye gari, umri kuanzia miaka 30 na kuendelea; tunaye weza kupeana company sometime; namkaribisha.

Mimi najitegemea na sio wa kubebwa ki hivyo mjapo sijajikomboa kwa usafiri

Mimi naishi pande za sekei - Arusha

Kama upo serious naomba uni pm na nitaheshimu mawazo yako; na nitakupa full support kuhakikisha sikupi usumbufu
 
Chaggabebi man type? mteremkooo dot com
 
Wapendwa
naona msimu wa mvua umeanza na sikuweza kukamilisha dream yangu ya kuwa na gari. 0 Unampendea gari au
Kama yupo mwanamke mwenye gari, umri kuanzia miaka 30 na kuendelea; tunaye weza kupeana company sometime; namkaribisha..
Mimi najitegemea na sio wa kubebwa ki hivyo mjapo sijajikomboa kwa usafiri
Mimi naishi pande za sekei - Arusha
Kama upo serious naomba uni pm na nitaheshimu mawazo yako; na nitakupa full support kuhakikisha sikupi usumbufu

unampendea gari au nini? Vituko haviishi duniani aisee!
 
Hayo ni mawazo yako
Kwanza sijasema suala la kupenda hapa japo naamini, things works better ....much better with opposite sex.
inawezekana kuwa ni mawazo yangu ila kumbuka tu kuwa; Ukisha kuwa na usafiri sometime inakupunguzia nafasi ya kukutana na watu kwani ratiba hubakia kuwa from point A to B
I am happy to beak the bridge and make the whole scinerio positive!!!!
 
Hahahahhahhahhahhaha aii jf raha mnoo aiseeeee
 
chief kiumbe anatoaga V8 bureeee we mcheki tu.
 
Wewe kiwa,
Sina hakika kama unaelewa kiswahili au nitafisiri kwa kikuria
...Najua kuna wanaume wanaoweza kutoa magari....ila mimi nimesema kwa mwanamke tu!...
 
Wewe kiwa,
Sina hakika kama unaelewa kiswahili au nitafisiri kwa kikuria
...Najua kuna wanaume wanaoweza kutoa magari....ila mimi nimesema kwa mwanamke tu!...

ah sasa mkuu wewe shida yako si gari?! jamaa anagawa magari so wewe utajipatia lako then utafute mwanamke unaemtaka.
hapo vp?!
 
for the moment naomba tu bakie kwenye post yangu...bila kubadilisha
Kwanza na hisi wewe una mawazo ya mtaani kwani hata huyo chief kiumbe (ninayo profile yake) hana jeuri ya kugawa V8; labda amehamia kwenye zile biashara zingine....
 
Kiwa banaa hakuna nduguyo mwanamke mwenye hata Vtz umsaidie huyu nduguyo
 
Hahaha, nimeipenda hii. Sasa, ww utakuwa driver ama baba mwenye gari? Changamka naweza kukuhamishia huku tandahimba banaa
 
hahahah Mdau unataka mwenye dinga ili na ww upige misele na kuuza sura hahaha bongo raha sana
 
Hizi ndio zile theread ukiona title tu inabidi uingie uione na umsome jina la muanzisha uzi pamoja na avatar yake na ameingia lini JF.. HAHAHAHAHAHAHAAAA
 
Hayo ni mawazo yako
Kwanza sijasema suala la kupenda hapa japo naamini, things works better ....much better with opposite sex.
inawezekana kuwa ni mawazo yangu ila kumbuka tu kuwa; Ukisha kuwa na usafiri sometime inakupunguzia nafasi ya kukutana na watu kwani ratiba hubakia kuwa from point A to B
I am happy to beak the bridge and make the whole scinerio positive!!!!

Ww hujitambui nenda fb kwa watot wenzako wanamagar meng tu!
 
Wapendwa;
nafurahishwa na mawazo ya watu, kwani wakati mwingine ni vizuri kujua jinsi watu wanavyo weza kuchukulia jamabo....
DYUTE...nimeshangazwa na mawazo yako kuwa...mwanzako ahonge gari wewe uendeshe?????
Hapo unawadhalilisha dada zetu; unamaanisha wao hawana uwezo wa kununua magari hadi wa hongwe? nafikiri hayo mawazo yamepitwa na wakati labda kama una target ma dada poa.

Msitahiki meya: binafsi naweza kuendesha baiskeli, pikipiki, gari na hata C206/8; kitu ambacho sija ujuzi nacho ni vyombo vya baharini; suala la kuendesha au kuendeshwa hilo nafikiri sio la msingi sana, japo nakiri kuwa kina mama ni waangalifu sana katika kuendesha vyombo vya moto kuliko wanaume....
Kwa taarifa yako mimi sio addict wa gari ndio sababu sijalipa fore periority

Mtena: nashukuru kwa mawazo yako ila ...i feel you should think twice as you do not have to judge the material in the book by its cover
King'asti: Big up!!!!
 
Kiwa: kwa taarifa yako ninao shamba boys wala sio mmoja...
Kazi kwako!!
 
Umenishangaza sana we chaliiiii wa arusha!fanya kazi ununue lako ndio utafute other opposite sex,we unataka kuiga mambo ya wtt wa kiswahili!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom