Natafuta mke wa kuoa umri usiozidi miaka 25

Natafuta mke wa kuoa umri usiozidi miaka 25

Mullocoz

Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
23
Reaction score
2
Natafuta mke wa kuoa umri usiozidi miaka 25 mwenye sifa tuwasiliane karibuni sana wapendwa.
 
Weka CV yako hao wenye sifa waone kama na wewe una sifa, Ila kila la kheri ukipata uje utuambie.
 
Natafuta mke wa kuoa umri usiozidi miaka 25 mwenye sifa tuwasiliane karibuni xana wapendwa.

wa facebook wamekushinda wa jf na P.o.Box za mjini utawaweza?
Tangazo limekaa ki kona bar kona bar!
 
Natafuta mke wa kuoa umri usiozidi miaka 25 mwenye sifa tuwasiliane karibuni xana wapendwa.
Mullokoz wakora weitu. Umugambire stupid in front ya my waifu? Bahati mbaya mama Koku yuko na anko Kidevu wanakura senenne.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom