Habari wote!
Mimi ni msichana mrembo nasoma chuo kwa sasa.
Natafuta jibaba lenye nazo ambae ataweza kunilea na mimi ntampa penzi zito!,
Nipo serious sihitaji wa kucheza na hisia zangu kwani npo...
Natafuta mchumba wa kike awe na elimu kuanzia fomu 6,ameokoka,mfupi,mweupe,awe anapatikana dar,awe serious na tayari kupima HIV kiukweli nikimpata nitampenda na kumtunza please kama hauko serious...
wapendwa,
Mimi natafuta mke....kwa sababu nimechoka na maisha ya u-single.
Sifa za mke ni mpendaye ....awe:
1. Daktari au Nesi......iwe tayari ameajiriwa na sio mwanafunzi, au awe
2...
Mdogo wangu aishie moshi anatafuta mke mkristo born again. kazi yake ni mwl. wa shule ya msingi yupo moshi(wilaya ya same). umri wake ni 33yrs. kama uko serious pm nikupe namba yake ya simu.
hallow wana JF
Najitokeza kwa mara kwanza hapa JF kutafuta rafiki wa kike ambae baadae atakuwa mke wangu,mimi nina sifa hizi
-umri wangu ni miaka 36
-urefu ni cm 168
-siyo mwemba siyo mnene ni...
Jamani bandugu mi natafuta mpenzi wa kuanzanae maisha yaani kufunga nae pingu za maisha awe mke wangu.awe natabia nzuri pia awe mwalimu wa shule ya msingi! Ambae yuko tayari tuwasiliane!
Mimi ni mfanyakazi na nimeajiriwa na serikali elimu yangu ni ya chuo kikuu nina shahada moja ni mkristo najitokeza kwenu nyie akinadada ambao ni walimu nesi na hata polisi km uko tayari kuanza...
Hello,
İ just moved here and was looking for some fun and adventures. İ am looking for a girl company that would make my stay comfortable/fun.
Coincident,İ am single too and so...
mimi ni kijana (mwanaume) mwenye umri wa miaka 27, ni graduate, bado sijabahatika kupata ajira...
natafuta rafiki wa kike popote pale ambaye ikiwezekana tuje tukaanze naye maisha kwa baadaye...
Habari girls? natafuta mwamke awe mpenzi wangu kwa sharti la kunivumilia maana mimi nimepitia katika mapenzi ya jinsia moja so nataka mwanamke atakeweza kunifanya nikasimamisha vizuri tunapokuwa...
Salam,
Natafuta binti wa kunipenda katika msimu huu wa wapendanao,
VIGEZO,
Umri miaka 18 hadi 24, mweusi, asiwe mnene , mrefu, mtanzania, anayejieshimu.
Aliye tayari ani PM
Hii Girl,
Naitwa Erick nina umri wa miaka 28, single boy! nafanya kazi napenda kuwa na Friends wa kike kwa ajili ya kampani,
kama ku chat outing na kubadilishana mawazo ya kimaisha na maendeleo...
mm ni mwanamke, nina miaka 35, nimeajiriwa, sifa awe na miaka 36-45, anayeishi Tanga, muislamu anayeijua dini, awe na mapenzi ya kweli aliyetayari tuwasiliane.
ningependa kupata mwanamke aliye tayari kuishi na mimi kama mke , ambaye anaweza kumiliki miradi hata kama sipo kwa uaminifu mkubwa . kwa kuwa na mimi ni baba wa watoto 2 wakubwa , ningependa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.