Habari zenu wadau.
Mi ni kijana wakiume nina umri wa miaka 30 Nimejiajiri. Natafuta msichana wa kumuoa awe ma umri wa kuanzia miaka 23 hadi 30 ukiwa tayari ni PM.
Jamani natafuta rafiki wa kike lakini awe mwalimu shule msingi au sec ambaye baadaye tuweze kuishi pamoja as a family...sifa: awe mkristo, umri kati ya 18 -23, kabila yeyote,mrefu kidogo asiye...
Mimi ni kijana wa miaka 30.
Natafuta mchumba muislamu mwenye kujitambua umri usizidi 27 na usipungue 20.
Akiwa mwalimu ni vizuri zaid.
Kabila lolote.
Ulie tayari ni pm.
Hivi huko munakopita hamuwaoni hao wachumba wenye sifa munazozitaka au vipofu? Shauri yenu wengine humu ni majini na wachawi wala sio watu.
Mimi ninawaambia hivyo.
Kama kuna mwanamke mweye umri wa miaka 28 hadi 40 ambae hana mtoto na anahitaji mtoto au watoto ambao ataweza kulea.
Anakaribishwa, ukiwa tayari nitupa email tutawasiliana.
Wakuu habari!
Najitokeza hapa kutafuta mchumba wa kike ambaye yupo serious tu, awe kanda ya ziwa, akiwa Mwanza itapendeza sana, awe Mwalimu au Nurse, akiwa mwalimu itapendeza zaidi, awe na umri...
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 28, sijawai kuoa wala sina mtoto. Nina urefu wa 5.4' and 60kgs, nakunywa pombe ila sivuti sigara.
Nimtafutaye:
1. Awe amepevuka akili kwa maana kwamba...
Huenda umewahi kuumizwa na wasiojua kupenda/kupendwa au hata kama siku zote umekuwa ukisubiri, nina imani kwa uzi huu ndoto yako itatimia. Sina masharti yoyote, kama umenielewa PM.
habari zenu jf! Natafuta mpenzi wa kike ambaye nawezaishi nae hapo baadae kama mme na mke.
wasifu wangu:
1-Nina miaka 19
2-elimu ya kidato cha nne Kwa sasa,ila nasubiri selection niendelee na...
Natafuta mchumba
Vigezo
1:awe na umri 20--25
2:awe mkristo
3:mweupe
4;yupo mkoa wa dar
5:ana kazi anajitegemea
6:asiwe na mtoto au kuzaa.
7:asiwe mwemba sana wala mnene san
Me nina...
Mimi ni kijana umri 28, mkristo, mtumishi wa serikali,uref Ft 5.4,
Natafuta mchumba au mke mwenye sifa zifuatazo
1. Awe mcha mungu
2.Mwenye upendo wa dhati
kwangu na ndugu zangu pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.