Natafuta mke

Natafuta mke

JONATHAN KAMWAVAH'S

Senior Member
Joined
Oct 9, 2012
Posts
184
Reaction score
24
Jamani mm nikijana nina umri wa miaka 28,nimechoka ishi pekeyangu,naombeni kuuliza je!pande hizi nisahii naweza pata mke
 
^^
Kuna wachumba tu, juhudi zako tu ndizo zinaweza kumgeuza kuwa mke!
^^
 
Huku kuna wa fasta tu lakin si wakuweka kambi,..loading error..
 
Toa no ya cm kuna mke nataka nikupatie ila uwe serious na hili jambo
 
Wapo wadada wanatafuta humu,si umeona maswali yao...changamka mkuu
 
28yrs umechoka tena mwanaume??? Kweli mko tofauti, nina marafiki zangu wana 32-35yrs nikiwauliza vipi mna mpango gani wanasema bado wapo wapo!!

Hongera mkuu!!
 
28yrs umechoka tena mwanaume??? Kweli mko tofauti, nina marafiki zangu wana 32-35yrs nikiwauliza vipi mna mpango gani wanasema bado wapo wapo!!

Hongera mkuu!!

mie nna rafiki yangu mwili mdogo ila kwa haraka haraka anakimbilia 40. Ameshakata tamaa ya kuoa kabisa. Hata mtoto wa kiume ukifika miaka 28 inabdi uwe katika mahusiano ya kueleweka. Unaweza ukashangaa unakosa mke hivi hivi.
 
mie nna rafiki yangu mwili mdogo ila kwa haraka haraka anakimbilia 40. Ameshakata tamaa ya kuoa kabisa. Hata mtoto wa kiume ukifika miaka 28 inabdi uwe katika mahusiano ya kueleweka. Unaweza ukashangaa unakosa mke hivi hivi.

Huyo kapenda kukosa....mwanaume hata awe na miaka 60 hawezi kukosa mke
 
Kama umechoka kuishi pekeyako....unadhani ukiongeza mtu mwingine ndo utaweza??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom