Nitaoa mwanamke natural anayejitambua

Nitaoa mwanamke natural anayejitambua

REALITY

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2014
Posts
4,391
Reaction score
1,963
Hi
Sifa za mwanamke natural ana nywele asili, hajichubui, anavaa kiheshima, anajitambua, mpenda dini, anayejua thamani yake, tabia nzuri, hachagui mazingira wala chakula, yaani nitadata and i will risk time and life for her, ila hawa ambao ni vinyago wa mpapure wapige tu ruti town kwanza nawadharau.
 
Kila la kheri kaka... Umeenda opposite na wenzio,wanaume wengine wanamuona huyo kama mshamba...
 
napenda sana mwanamke anayependa sana asili yake,nitaelewana naye sana maana naamini kuwa kuna kitu kinachomfanya abaki tu na asili yake

Ni kweli kabisa nimekubaliana nawe ndio maana nimekaribia.... Japokuwa kuna vingine vya asili na vinaboa
 
Hamna linaloshindikana chini ya jua mkuu..The choice is yours, go for it!!!!!!
 
Kila la kheri kaka... Umeenda opposite na wenzio,wanaume wengine wanamuona huyo kama mshamba...

mjanja ni yule aliyeona gharama na athari za cosmetics na kutozitumia ila mshamba ni yule aliyeiga na kukurupuka na kujikuta mtumwa kwenye vitu ambavyo ni really useless
 
REALITY, kweli kabisa...ukiona amejikoboa achana nae..!
 
Last edited by a moderator:
Hi
Sifa za mwanamke natural ana nywele asili, hajichubui, anavaa kiheshima, anajitambua, mpenda dini, anayejua thamani yake, tabia nzuri, hachagui mazingira wala chakula, yaani nitadata and i will risk time and life for her, ila hawa ambao ni vinyago wa mpapure wapige tu ruti town kwanza nawadharau.



Wengi tunapenda iwe hivyo! Kivumbi kumpata sasa!
 
nenda mwenge primary school utawapata... siku hizi wakishafika secondary tu make-ups znahusika!!! kila la kheri lakini
 
nenda mwenge primary school utawapata... siku hizi wakishafika secondary tu make-ups znahusika!!! kila la kheri lakini

embu fikiria tena maana naona kuropoka kwako credit
 
mjanja ni yule aliyeona gharama na athari za cosmetics na kutozitumia ila mshamba ni yule aliyeiga na kukurupuka na kujikuta mtumwa kwenye vitu ambavyo ni really useless
Ila kujiremba kidogo si mbaya..tatizo wanawake wengi sikuhizi hatujirembi bali tunajibadilisha kabisaaa... Ndo utakuta michubuo,kope za bandia,kunyoa nyusi zote,lace wig,eye contact lens...mtu akiviweka vyote kwa pamoja unamsahau... Hiyo si nzuri..
 
Back
Top Bottom