Nina miaka 37...Hawe ni mwanamke anayejitambua na anajua maana ya maisha anayejali na kutambua umuhimu wa mwenzake katika maisha.
Nina jiheshimu na ningependa Kupata mwanamke wa haina hiyo. Baada ya ndoa yangu kuwa na mgogoro nina miaka8 sijatembea na mwanamke yeyote yule.... si kwasababu sina hamu au siwaoni.
Bali ni uamuzi tu.
Mwenye anadhani tunaweza kuendana naomba ani PM.
ANGALIZO:
Mimi ni mtanzania wa kawaida kabisa Mlo mmoja kwa siku.
Sinywi Pombe, sivuti, wala kutumia kilevi cha haina yoyote.
Hivyo asijitokeze mwanamke anayetaka Majumba na Magari(mimi sina).
Ila napambana ofcourse kupata maisha mazuri ingawa siku yangu haijafika bado.
Nina jiheshimu na ningependa Kupata mwanamke wa haina hiyo. Baada ya ndoa yangu kuwa na mgogoro nina miaka8 sijatembea na mwanamke yeyote yule.... si kwasababu sina hamu au siwaoni.
Bali ni uamuzi tu.
Mwenye anadhani tunaweza kuendana naomba ani PM.
ANGALIZO:
Mimi ni mtanzania wa kawaida kabisa Mlo mmoja kwa siku.
Sinywi Pombe, sivuti, wala kutumia kilevi cha haina yoyote.
Hivyo asijitokeze mwanamke anayetaka Majumba na Magari(mimi sina).
Ila napambana ofcourse kupata maisha mazuri ingawa siku yangu haijafika bado.