Natafuta mchumba "Exceptional"

Natafuta mchumba "Exceptional"

EJM_

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
3,836
Reaction score
2,119
Natafuta mchumba na baadae awe mke, sifa zifuatazo;
1. Awe mrembo (Habari za uzuri tabia, mara kwenye macho ya blah blah sitaki)

2. Asiwe mpiga mizinga (Mara hela ya kusuka, mara ya vocha mara mama mgonjwa) hayo yote ni matatizo yako binafsi

3. Itakapofikia kuoana nisidaiwe mahali (sitaki kununua mtu mimi nataka tuwe na signed MOU)

4. Vitu vyote nilivyonavyo ni vyakwangu na vyake vyake. Tunaanza kutafuta vyetu pamoja kwa kuchangia 50% kwa kila kitu ili tukiachana kila mtu anabeba vyake hatuhangaiki kwenda kortini.

5. Awe tayari kuzaa watoto 2 tu ili tukiachana tunagawana kila mtu anasepa na wake.

6. Anayeomba msaada kwa mwenzie wa kifedha huo ni mkopo na unarudishwa na riba juu yake.

Una sifa tajwa?

Talk to me.
 
No Discrimination Of Dini? Upo Teyar Kubadil Din Au Ndo Ndoa Za Mkataba
 
Duh.... Mbona sina sifa hata moja??? Ngoja nikuitie ahost angu Nyamumwi wa pale Mkendo kati walau anasifa zote kasoro moja tu...
 
Duh.... Mbona sina sifa hata moja??? Ngoja nikuitie ahost angu Nyamumwi wa pale Mkendo kati walau anasifa zote kasoro moja tu...

Hahaha haya muite, how r u doin lakini?
 
Natafuta mchumba na baadae awe mke, sifa zifuatazo;
1. Awe mrembo (Habari za uzuri tabia, mara kwenye macho ya blah blah sitaki)

2. Asiwe mpiga mizinga (Mara hela ya kusuka, mara ya vocha mara mama mgonjwa) hayo yote ni matatizo yako binafsi

3. Itakapofikia kuoana nisidaiwe mahali (sitaki kununua mtu mimi nataka tuwe na signed MOU)

4. Vitu vyote nilivyonavyo ni vyakwangu na vyake vyake. Tunaanza kutafuta vyetu pamoja kwa kuchangia 50% kwa kila kitu ili tukiachana kila mtu anabeba vyake hatuhangaiki kwenda kortini.

5. Awe tayari kuzaa watoto 2 tu ili tukiachana tunagawana kila mtu anasepa na wake.

6. Anayeomba msaada kwa mwenzie wa kifedha huo ni mkopo na unarudishwa na riba juu yake.

Una sifa tajwa?

Talk to me.

Mbona umepata mkuu, tizama hapa nina vigezo vyooote uvitakavyo .
 
Mbona umepata mkuu, tizama hapa nina vigezo vyooote uvitakavyo .

Kweli mkuu umekidhi vyooote kasoro kimoja tu. We sio binadamu kama ungekuwa binadamu mbona ingekuwa fasta😉
 
Kweli mkuu umekidhi vyooote kasoro kimoja tu. We sio binadamu kama ungekuwa binadamu mbona ingekuwa fasta😉

Mkuu M'Jr mbona umeanza stigmatization kwaniyi mimi sina haki ya kupata mwenzagu kwajili ya #conjugal #right hata kama nimekidhi vigezo vyote.?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu M'Jr mbona umeanza stigmatization kwaniyi mimi sina haki ya kupata mwenzagu kwajili ya #conjugal #right hata kama nimekidhi vigezo vyote.?
Tatizo ni kwamba mwisho wa siku I have to decide, sasa sitaki kudecide kuwa naota majinamizi usiku kila siku badala ya kuota nipo peponi MeinKempf
 
Last edited by a moderator:
Tatizo ni kwamba mwisho wa siku I have to decide, sasa sitaki kudecide kuwa naota majinamizi usiku kila siku badala ya kuota nipo peponi MeinKempf

Ahahaaa.....ina maana sisi wengine ni #mazombie ...haya bana mkuu .
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom