Natafuta mwanamke wa kuoa

Natafuta mwanamke wa kuoa

DATABASEE

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
588
Reaction score
589
Habari zenu wapendwa..!
Kwanza namshukuru mungu kwa kunipa uzima telee.
Mimi ni kijana wa kiume,ninatafuta mwanamke wa kuoa

wasifu wangu ni kama ifuatavyo:-
1.umri wangu upo kati ya miaka 25-30
2.elimu yangu nina bachelor ya computer science engineering

wasifu wa mwanamke nimtafutaee ni kama ifuatavyo:-
1.umri uwe kati ya miaka 21-29
2.elimu kuanzia kidato cha nne.
3.kabila lolote.
4.awe anayejitambua.
5.dini maelewano.
6.kama kishazaa,asiwe na zaidi ya mtoto mmoja.

Aliye tayari anajua pm panahusika.

Nb:wanajukwaa comments za kijinga hapa sio mahala pake.ahsanteni.
 
Habari zenu wapendwa..!
Kwanza namshukuru mungu kwa kunipa uzima telee.
Mimi ni kijana wa kiume,ninatafuta mwanamke wa kuoa

wasifu wangu ni kama ifuatavyo:-
1.umri wangu upo kati ya miaka 25-30
2.elimu yangu nina bachelor ya computer science engineering

wasifu wa mwanamke nimtafutaee ni kama ifuatavyo:-
1.umri uwe kati ya miaka 21-29
2.elimu kuanzia kidato cha nne.
3.kabila lolote.
4.awe anayejitambua.
5.dini maelewano.
6.kama kishazaa,asiwe na zaidi ya mtoto mmoja.

Aliye tayari anajua pm panahusika.

Nb:wanajukwaa comments za kijinga hapa sio mahala pake.ahsanteni.

Kwa hiyo umri wako ndio huo sio?..utakua binadam wa kwanza kuwa na umri huo
 
kabla hujapata wakuoa hebu ni pm. aisee natafuta mchepuko. aisee niko lonely sana. usimwambie mtu ni siri yetu
 
Kama unaona ni muhusika pm inahusika otherwise we pita zako!
 
Jamani hebu kuweni serious kwenye haja / thread za watu. Heshima ni kitu cha bure. Sio lazima kila thread mseme kitu ,kama thread yeyote haiendani na hitaji lako hebu jaribu kunyamaza na kupita kimya kimya sio lazima ujibu. Kumbuka hata wewe utakuja kupatwa na shida halafu imagine wengine wakikudhihaki utajisikiaje? Hebu tuonyeshe hekima, utu na heshima . Kaka Wa watu anatafuta Mke ,kama angekuwa anataka mchepuko si angesema. Kwa maana yeye ni MTU mzima na ana akili zake timamu. Na kuhusu age amekosea nini kuandika hivyo ? Hebu tuacheni hizo please. Jaribuni kuthamini feelings za wengine, sio vizuri kabisa hivyo. Ndugu usife moyo ,endelea kutafuta na utapata tuu, Mungu akutie nguvu. Usijali binadamu kwa sisi ndivyo tulivyo . Achana na sisi just tizama Juu kwa Mungu wako Naye atakupa huyo mke mtakaye Hata hapa na kokote kule . Thanks.
 
Huyo mwanamke anaesakwa usiku awe mke inaashiria kidumu kimejaa.

Punguza kwanza babujiii
 
Jamani hebu kuweni serious kwenye haja / thread za watu. Heshima ni kitu cha bure. Sio lazima kila thread mseme kitu ,kama thread yeyote haiendani na hitaji lako hebu jaribu kunyamaza na kupita kimya kimya sio lazima ujibu. Kumbuka hata wewe utakuja kupatwa na shida halafu imagine wengine wakikudhihaki utajisikiaje? Hebu tuonyeshe hekima, utu na heshima . Kaka Wa watu anatafuta Mke ,kama angekuwa anataka mchepuko si angesema. Kwa maana yeye ni MTU mzima na ana akili zake timamu. Na kuhusu age amekosea nini kuandika hivyo ? Hebu tuacheni hizo please. Jaribuni kuthamini feelings za wengine, sio vizuri kabisa hivyo. Ndugu usife moyo ,endelea kutafuta na utapata tuu, Mungu akutie nguvu. Usijali binadamu kwa sisi ndivyo tulivyo . Achana na sisi just tizama Juu kwa Mungu wako Naye atakupa huyo mke mtakaye Hata hapa na kokote kule . Thanks.

Mmmh Loveissweet..au ndio kampeni nin hii?kama baada ya kushusha maneno haya umemfuata huko pm lazima ajue amepata mke makini.

Naassume ningekuwa mie ndio yeye, ata usingeomba ingebidi nije pm kuomba wewe unifikirie.
 
Mungu mwenye nguvu akujalie upate mke mwema atakayefanana nawewe,gud luck my brother!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom