Nipo na umri wa kuoa nahitaji mchumba

Nipo na umri wa kuoa nahitaji mchumba

John Gelas

Senior Member
Joined
Apr 25, 2012
Posts
168
Reaction score
7
Jamani mimi ni kijana ambaye nimekuwa nikiishi Maisha ya usingle sasa nahitaji kua na mwenza nina umri miaka 22 nahitaji Mchumba mkweli ili baadae nimuoe awe Umri kati ya miaka 20 hadi 25 sichagui Dini wala Kabila.
 
Jaman me ni kijana ambae nmekua nikiishi maisha ya usingle sasa naitaj kua na mwenza nina umr miaka 22 naitaj mchumba mkwel ili baadae nimuoe awe na umri kat ya 20~25 sichagui din wala kabila
anicheki 0719474102
 
Jaman me ni kijana ambae nmekua nikiishi maisha ya usingle sasa naitaj kua na mwenza nina umr miaka 22 naitaj mchumba mkwel ili baadae nimuoe awe na umri kat ya 20~25 sichagui din wala kabila

Nakushauri ujinadi kidgo, sema sifa zako mkuu...
 
Jaman me ni kijana ambae nmekua nikiishi maisha ya usingle sasa naitaj kua na mwenza nina umr miaka 22 naitaj mchumba mkwel ili baadae nimuoe awe na umri kat ya 20~25 sichagui din wala kabila

kazi kweli kweli, wenzako wa umri huo wasichana kwa wavulana wanakimbizana na vitabu...wewe unaweza mapenzi na kuoa.
 
Jaman me ni kijana ambae nmekua nikiishi maisha ya usingle sasa naitaj kua na mwenza nina umr miaka 22 naitaj mchumba mkwel ili baadae nimuoe awe na umri kat ya 20~25 sichagui din wala kabila

Na kwel umri wa kuoa..22!?? Ah tafuta mke kabisaa mle ujana wenu vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom