Mke mwema anatafutwa

Mke mwema anatafutwa

kajaga88

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2013
Posts
228
Reaction score
31
Wana jamii, mimi ni mwanaume mkamilifu kabisa, nina miaka 34, nina mtoto1. najitokeza kwenu kutafuta mwanamke wa kuoa, awe mwelewa, mwenye hofu ya Mungu, awe amekua kiakili na kimwili pia.

Akitaka kujua zaidi, PM. NB: kwa mwenye mtoto anapewa kipaumbele kwani naamini amekua kiakili.
 
ukamilifu wako uko sehemu gani? kwanini kumuoa uliyezaa naye? na kama uliona hafai kwann hukutumia ukamilifu wako kumuweka awe unavyotaka uoe mtunze motto pamoja? eti mkamilifu mmfyuuuuuuuuuuuu
 
Wana jamii, mimi ni mwanaume mkamilifu kabisa, nina miaka 34, nina mtt1. najitokeza kwenu kutafuta mwanamke wa kuoa, awe mwelewa, mwenye hofu ya Mungu, awe amekua kiakili na kimwili pia. Akitaka kujua zaid, PM. NB: kwa mwenye mtoto anapewa kipaumbele kwani naamini amekua kiakili.

Ni P.M mm
 
Watu wote hum wamekua kimwili sidhan kama kuna mtoto wa mwaka mmoja anyway bahat ako ikifika utaipata kua n subra tu
 
hao wakamilifu unaowtaka wewe unaweza kuwapata wapi?
na je huyo uliyezaa naye hakuwa mkamilifu hata theluthi?

SASA

sijui niongee au niache kuongea TENA
 
ukamilifu wako uko sehemu gani? kwanini kumuoa uliyezaa naye? na kama uliona hafai kwann hukutumia ukamilifu wako kumuweka awe unavyotaka uoe mtunze motto pamoja? eti mkamilifu mmfyuuuuuuuuuuuu

alitangulia mbele za haki, 2yrs ago
 
hao wakamilifu unaowtaka wewe unaweza kuwapata wapi?
na je huyo uliyezaa naye hakuwa mkamilifu hata theluthi?

SASA

sijui niongee au niache kuongea TENA

nilozaanae alitangulia mbele za haki
 
alitangulia mbele za haki, 2yrs ago

ooh so sorry apumzike kwa amani aliyetutangulia nasi tuko njia moja........Mungu akujalie uweze kupata hitaji la moyo wako yeye ni mwema atakupatia umtakaye
 
pole sana mkuu ungeweka wazi kwenye bandiko lako ili tufahamu
ndo maana tumeshindwa kukuelewa kwenye thread ako pole

Mungu akufanikishe katika hitaji lako
nilozaanae alitangulia mbele za haki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom