Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
kwa mara nyingine,mimi ni mwanaume wa miaka 27,mrefu wa futi 6,mweusi wa maji ya kunde,mchaga na mkristo safi. Elimu degree of banking and finance. Kwa sasa nmejiajiri kwenye kilimo. Mke...
0 Reactions
0 Replies
928 Views
Mimi ni msichana, nimeajiriwa serikalini, natafuta mume ambaye anatakuwa anaishi Tanga, miaka 36-45. maelezo zaini ni pm.
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Natafuta mwanaume awe mlemavu wa kiungo.30-50
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Natafuta dada wa kula bata weekends Arusha
0 Reactions
0 Replies
781 Views
hivi kuna uhusiano dhabiti kati ya hayo mambo mawili kutafuta mume kwa kuangalia kabila? kina ukweli mapenzi ya mtu yana uhusiano moja kwa moja na kabila lake hasa kwa nyie wakiume?
0 Reactions
0 Replies
790 Views
Mimi ni kijana mtulivu na mtanashati,najitokeza humu, nia ya kutafuta rafiki mzuri na mstaarabu ili kuwa rafiki yangu wa kudumu. Aliye na kigezo cha uzuri na ustaarabu kama mimi ani pm namba yake...
0 Reactions
0 Replies
884 Views
Habari za wakati huu wapendwa wana Jf, Humu tupo wengi wa sehemu tofauti tofaut na pia rika tofauti ningependa tufahamiane jamani so kama upo online jiachie usisite hii ndo time yetu...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wa kuu, Namshukuru Mungu kwa kutufikisha siku ya Leo,mmi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 26,mwenye kimo cha kawaida,natafuta msiçhana mwenye umri kuanzia miaka 18 mpaka 25 ...
0 Reactions
37 Replies
7K Views
Mimi ni kijana wa umri wa kati nafanya biashara nimejiajiri,nimeamua kutafuta rafiki wa kike wa kudumu ambaye kama tutaelewana atakuwa mke wangu kigezo kikubwa ni kujitambua.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari, Kwa jina naitwa Carlson mwenye umri wa miaka 28, natafuta rafiki wa kike ambae tutakua na ndoto za kuoana baada ya kufahamiana. Mimi nipo chuo mwaka wa pili umri wake awe na miaka 25-28...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
habari zenu wakuu hope mmeshinda poa kwanza kabisa ningependa tumshukuru mungu kwa kutulinda na kutupa pumzi yake mpaka hivi sasa (wote tuseme amin) mimi ni kijana mwenye umri wa miaka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
.,.,.,,,..,,.,,.,.,..,.,.,,,. Expired
0 Reactions
44 Replies
4K Views
Awe nimtumishi serikalini mimi ni mtumishi pia na nina mtoto 1
0 Reactions
2 Replies
872 Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25. Ninaishi Dar. Nina elimu ya chuo kikuu. Natafuta mpenzi wa kike. Sichagui kabila, dini wala rangi. Aliye interested anipm
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mimi ni kijana nasafiri kuja Dar Jumatano na ninatafuta dada wa Dar atakayenionyesha hilo jiji kwa sababu nitakuwepo pale kwa wiki mbili kikazi na ningependa kujua sehemu kadhaa kama vile beach...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Jamani natafuta marafiki wa kike wa kuchat nao tu, nothing else alie tayari. Anchek whatsapp au kawaida 0655415200
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nahitaji marafiki wa kweli jinsia yoyote wa kushare idea na kubadilishana mawazo umri wowote tu 25 Kushuka chini nicheki kwenye pm sms
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau, Mimi ni kijana wa kiume umri miaka kati ya 25-26.Ninatafuta mchumba mwenye tabia njema na upendo wa dhati, awe na umri kati miaka 24-22.Sibagui dini wala kabilaa kwa alie tayari...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nimempata jaman so pm sitak tena.
0 Reactions
36 Replies
6K Views
Habari zenu, Mimi ni jinsia ya kike natafuta mchumba umri kuanzia 40yrs na kuendelea awe mwaminifu na mwelewa, mengi zaidi tutaongea ani PM kwa maelezo zaidi asiwe mume wa mtu, Asante
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Back
Top Bottom