All the best
Changamkia fursa jirani
All the best
Jirani Fursa ya kwenda Sombetini hyo!!
Jirani mi sina kigezo hata kimoja
Jirani hapo mi chitakhiiiii... Hebu vheki vigezo alivyowe na ujibu maswali yangu jirani..
1.Narusha uzi huu kwa nia ya kumtafuta mchumba mwanadada wa kuishi nae..... Jirani ina maana wewe si mwanadada..??
2. Kwa ujumla nataman kupata mtu mwenye umri wa kwanzia 25 - 29 ........ Hapa labda, sijui lakini.... Ila hapanaaa unafiti banaa
3. Anatakiwa mtu mwenye uelewa............. Jirani ina maana wewe huelewi..??
4. Mchapa kazi ... Jirani ina maana wewe si mchapa kazi..??
5. Waweza niandikia kwa chrisbrandis88@gmail.com ...... Jirani kuandika huwezi kweli..??
6. Nitakujib bila shaka but uwe sirious .... Jirani ina maana huna kigezo cha kujibiwa..??? Au hauko serious...???
Jirani APPLY banaaa
Sasa jirani labda unisaidie kuandika hiyo imel ha haaaa
Jirani huko ni kuchagulia... EMBU ANDIKA BANAA
Jirani umepewa mshiko nini lols