julius caesar
Member
- Mar 20, 2015
- 94
- 27
Habari wa kuu,
Namshukuru Mungu kwa kutufikisha siku ya Leo,mmi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 26,mwenye kimo cha kawaida,natafuta msiçhana mwenye umri kuanzia miaka 18 mpaka 25 , lengo langu nikutengeneza mahusiano yatakayo tupelekea kwenye ndoa, nataka msichana mwenye elimu kuanzia form four kuendelea.
Kama atakuwa anataluuma itakuwa vizuri zaidi kama atakuwa hana kazi nitamtafutia mwenyewe kazi, coz sipendi mwanamke tegemezi kwa kila kitu,nimeandika humu natafuta mchumba sio kama huku mitaani si waoni ila ni kwa sababu mungu ameniongoza nifanye hivyo,natumaini kama kuna msichana naye anatafuta serious relationship,ani pm!
Angalizo: Mmi sio mwanaume tajiri, mmi ni mwanaume mwenye kipato cha chini, napenda sana care na respect,ukinipenda kwa dhati kutoka moyoni kwako hutojutia maamuzi yako,
Mungu ndie atakuwa shaidi wangu
Asante
Namshukuru Mungu kwa kutufikisha siku ya Leo,mmi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 26,mwenye kimo cha kawaida,natafuta msiçhana mwenye umri kuanzia miaka 18 mpaka 25 , lengo langu nikutengeneza mahusiano yatakayo tupelekea kwenye ndoa, nataka msichana mwenye elimu kuanzia form four kuendelea.
Kama atakuwa anataluuma itakuwa vizuri zaidi kama atakuwa hana kazi nitamtafutia mwenyewe kazi, coz sipendi mwanamke tegemezi kwa kila kitu,nimeandika humu natafuta mchumba sio kama huku mitaani si waoni ila ni kwa sababu mungu ameniongoza nifanye hivyo,natumaini kama kuna msichana naye anatafuta serious relationship,ani pm!
Angalizo: Mmi sio mwanaume tajiri, mmi ni mwanaume mwenye kipato cha chini, napenda sana care na respect,ukinipenda kwa dhati kutoka moyoni kwako hutojutia maamuzi yako,
Mungu ndie atakuwa shaidi wangu
Asante