Mimi ni kijana wa umri wa kati ambaye kwa sasa nimeamua kutafuta rafiki wa kike wa kudumu ambaye kama tutaelewana atakuwa mke wa maisha yangu yote.
Nitafurahi kupata rafiki anayeishi...
Mimi ni mvulana umri wangu ni miaka 30, elimu yangu ni shahada ya uzamili katika elimu, ninaishi mkoani Mtwara.
Nahitaji mchumba mwenye sifa hizi:
1. Kabila lalote lile lakn kwa sasa awe mkazi...
Wana Jf,
Nahitaji mwanamke aliye tayari kwa ndoa. Dini na kabila sibagui. Mimi ni muislam.Umri wangu 38. Nina elimu ya shahada moja. Nakaribisha wenye umri usiovuka 33. Maswali yote yatajibiwa...
Awe wa dini na kabila lolote.Mimi muislam.Umri wangu 38.Mtumishi serikalini. Elimu yangu ya shahada moja.
Umri wake usivuke 33.
Maswali yatajibiwa PM
Karibuni
Mwanamke mfanyabiashara ndiye anahitajika kwangu,na kama upo seriously kama haupo serious hiyo namba iache usichukue.
Umri 18-22
NB: Nahitaji mpenzi lakini awe mfanyabiashara
0715152700
Mimi ni jinsia ya me, umri wangu ni mid. 30's, I am well matured, najitambua, nasali kanisa la roman,muajiriwa, darasani pia nimehudhuria kiasi. Sio mnene sio mwembamba, am looking simple...
Habari zenu ndugu,
Natafuta mchumba wa kuoa, awe muislam mwenye iman kwa mola wake, awe na Miaka kuanzia 20-30. Kwa mawasiliano please first E-mail me throught harmarazar759@gmail.com
Habari Zenu Mabibi Na Mabwana..
Kwajina Naitwa Michael Bt Weng Wamezoea KuNiita Drizzy/mickey Pia Nina Umri Wa Miaka 23
Nimeishi Kwa Upweke Kwa Takribani Mwaka Sasa Na Hii Ilitokana Na...
I'm a young man,and currently working with the biggest and famous Bank here in Tanzania.
Lately, I've been thinking about the type of woman that I want to end up with one day and I think I pretty...
Assalym alykum,
Natafuta rafiki wa kike ambaye atakuwa mke wangu baada ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Awe Muislam, aliyeifaham Quran na mpenda dini, awe tayari kuja kuishi Dar es...
Katika maisha tunaishi wote kama ndugu,haijalishi mmetoka ukoo mmoja,familia au hata taifa moja,lakini wote tunapokutana mahali tunajikuta tukiwa kama ndugu wamoja.
Nimeishi pekee kwa muda sasa...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 nahitaji mwanamke muelewa, anayejitambua na kujiheshimu umri ni miaka 20-26 kuweni serious jamani sitanii.
Kwa maelezo zaidi nitext joescotner@gmail.com...
Mimi naitwa Edwin, Nina miaka 26.
Kabila langu ni Muhaya Msabato mrefu mwembamba brown.
Sijaajiliwa ila nina elimu ya mechanical.
Namtafuta binti mwembamba, rangi yeyote mcha Mungu, Mkristu na...
Habarini wana Jf,
Nachukua nafas hii kuwa shukran kwa wale walio nitafuta baada ya kuandika kwamba nahitaji mwanamke wa kubadilishana mawazo, nawapa pongezi kwao japo kwa mbali hawakuweza kujua...
Heshima zenu wana jukwaa,
Naomba kueleza ukweli wa mambo ulivyotokea kwa mara ya kwanza. Nilikuwa natafuta mke, wakatokea wawili walionipm.Tukianza na wa kwanza, huyu tulikutana, baada ya miezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.