Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari, Kwa jina naitwa Johnson na miaka 31 naishi Dar. Natafuta marafiki wakike wa kubadilishana mawazo na kushauriana. Wenye umri wa miaka 18-32.
2 Reactions
20 Replies
5K Views
Awe na sifa zifuatazo; 1. Awe Mtanzania 2. Elimu at least form six na kuendelea(iwe rahisi kumuendeleza) 3. Umri miaka 23 hadi 28 4. Awe mcha Mungu 5. Asiwe mwembamba sana, asiwe mnene...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
MI ni kijana mkazi wa Dar, niko bachelor, nina elimu ya Chuo Kikuu nilimaliza 2013, nina twenty six years nilipomaliza nikaajiliwa na Serikali hazina mpaka sasa. Ninatamani kumpata mrembo hapa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari wana JF, Mi ni mvulana wa miaka 28 na elimu yangu ni first degree pia naishi Dsm. Natafuta binti mwenye miaka kuanzia 19-24 awe na mwili wa wastani, urefu 161-163 sentimita, dini should be...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta mchumba mwaminifu, anaejali, asietumia kilevi chochote, awe mcha Mungu, umri 27_30, mtanashati, mkristo, awe anaishi Arusha au Moshi, nitampenda na kumjali hatojuta. Sifa zangu; - Mfupi...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za mida hii wapendwa, Mimi ni binti mmoja mtaratibu sana, sijisifii ila niko hivyo kweli. Mapenzi yamenuimiza sana, ilifika mahali nilichukia sana wanaume, niliona ni wanyama nimekaa...
5 Reactions
48 Replies
5K Views
  • Closed
Nale khobha ng'wanike wa kotoola, ila abhize na myaka kwandeja makomi abhele asido kela makomi abhele na mpungate, nale ng'wanza, ila abhize na tabia ya wiza, natogilwe ngenu hado, nehu hado...
3 Reactions
43 Replies
4K Views
Nahitaji marafiki mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali ei sistert & bro Karibuni
0 Reactions
0 Replies
540 Views
Mim naomba ushaur utamjuaje mpenzi wakweli maana mim nina mpenz wangu kila Mara anasema yuko busy hata simu hapokei Mara nyingine ukimuuliza sababu anasema yuko busy
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wana JamiiForums! Kwa mara ya kwanza naingia humu kumtafuta ambaye atakuwa mtu wa karibu maishani mwangu. Nina miaka 29, ni Mkristo, ninafanya kazi katika shirika binafsi na nina elimu...
5 Reactions
79 Replies
14K Views
Natafuta mke kwa mara nyingine coz bado sijampata awe mwalimu au nurse umri wake 22-24 mrefu kiasi umri wangu 25yrs
0 Reactions
0 Replies
725 Views
[emoji12]
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama uko tayari ni pm binti/mwanamke wa kuliwazana
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Nipo Ubungo natafuta girl awe na sifa zifuatazo; 1: Awe mweupe 2: Asiwe mrefu sana 3: Asiwe bonge 4: Awe anaish Dar 5: Awe mtu wa dini kama mimi
0 Reactions
0 Replies
805 Views
Mkristo,20yrs-26yrs, tabia njema, elimu diploma na kuendelea, Mengineyo PM. Karibuni
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naamini mke anapatikana popote natafuta mwanamke mkristo mwenye hofu ya Mungu.Ili awe mama wa watoto wamgu mwenye kujua wajibu wake kama mama wa familia. Umri 20-27 elimu form4 na kuendelea. Kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji awe na sifa zifuatazo; -Maji ya kunde -Mrefu kiasi -Elimu yeyote
0 Reactions
10 Replies
2K Views
You must under 23. adventist christian. Race trible education size tupa kule. PM or Mail via [edu.pioneer76@gmail/yahoo.com]
0 Reactions
3 Replies
971 Views
Natafuta rafiki wa kike popote pale. Nahitaji awe mwenye hofu ya MUNGU ndani yake, napenda awe mrefu, umri 23-27. Mengine tutafahamiana, mimi ni me, umri wangu 28. God bless you
1 Reactions
2 Replies
922 Views
Xxxgvcffcggvvvvggvvbbhcccvvvvvvcvv bhv gbb
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Back
Top Bottom