Jamani tangia nitoke tumboni kwa mama yangu mpaka leo sijawahi kufanya mapenzi na mwanmke yoyote.Eti jamani alafu sui kutongoza.
Any grly ambae yuko tayari kua na mimi nicheki whatsapp basi.
Kwa...
Awe na sifa zifuatazo;
1 .Awe mcha Mungu
2. Elimu atleast form 6/diproma na kuendelea
3. Umri miaka 21 hadi 24
4. Asiwe mwembamba sana, asiwe mnene sana awe normal
5. Rangi ya ngozi isiwe black...
jamani habari za Leo wapendwa, kama ilivo heading pale juu!
Namtafuta sana Huyu dada popote alipo naomba anitafute plzzzz plzzzz tulikutana humu kwenyejukwaa hili tukafahamiana na tukawa...
Mimi ni kijana 25yrs naishi dodoma, mrefu kiasi mweupe kiasi nywele nyeusi. Watu wengi husema mm ni mpole.Nimejitokeza katika ukurasa huu ili kutafuta rafiki mmoja tu wa kike awe mkarimu ambaye...
Mimi ni mwalimu nafanya kazi katika jiji la Mwanza natafuta mchumba ambae yuko tayari kuolewa sasa mimi ni mkristo. awe na umri kuanzia miaka 22 mpka 30. awe na kz au hana haina shida. akitoka ktk...
Mimi ni mtumishi serikalini nipo Mwanza, lonely familia yangu ipo Mbeya natafuta rafiki wa story na kubadilishana mawazo kushare lonely experience.Interested PM
Ni kijana ninaesoma chuo kimoja hapa jijini Mbeya. Natafuta Msichana(18yrs-30yrs) wa ukweli ambae tutasukuma haya maisha ya chuo. Awe mwanafunzi au Mfanyakazi(Sio za ndani).
Mi ni mrefu.
Sio...
Natafuta na Nahitaji mwanamke mwenye kujielewa, mkweli, mwenye true love, anayejuakupenda na kuthamini kupendwa anayejua nini maana ya mahusiano naamini age ni namba tu but age yangu ni 26 old am...
Jamani kina dada/mama,mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 42,NAITAJI MKE lakini jamani sina ajira/kazi yoyote ile,yule mwanamke ambae atarizia na atakaekubaliana na hali hii tafadhali naomba...
- Nina umri wa 32
- Sijaolewa, sina mtoto
- Mkristo mkatoliki
- Nina elimu ya chuo
- Mwajiriwa Serikalini
- Nina hofu ya Mungu ndani yang.
Natafuta mwanaume ambaye na yeye anahitaji mwenza kama...
Je umetelekezwa na mume/ mchumba/ boyfriend na amekuachia mtoto ambaye hamtunzi na wala hamjali?
Nimejitoa Kuwa sadaka kwa watoto wapweke wasio na baba. Wajibu wangu utakuwa Kuwa karibu na mtoto...
Habari zenu waungwana,
Najitokeza hapa kutafuta mchumba muislam ambae Mungu akijaalia aje kuwa mke wangu,nipo serious nahitaji kuwa na mchumba kwa wakati husika,mimi ni muajiriwa Serikalini na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.