Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Jamani tangia nitoke tumboni kwa mama yangu mpaka leo sijawahi kufanya mapenzi na mwanmke yoyote.Eti jamani alafu sui kutongoza. Any grly ambae yuko tayari kua na mimi nicheki whatsapp basi. Kwa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Awe na sifa zifuatazo; 1 .Awe mcha Mungu 2. Elimu atleast form 6/diproma na kuendelea 3. Umri miaka 21 hadi 24 4. Asiwe mwembamba sana, asiwe mnene sana awe normal 5. Rangi ya ngozi isiwe black...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
jamani habari za Leo wapendwa, kama ilivo heading pale juu! Namtafuta sana Huyu dada popote alipo naomba anitafute plzzzz plzzzz tulikutana humu kwenyejukwaa hili tukafahamiana na tukawa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi ni kijana 25yrs naishi dodoma, mrefu kiasi mweupe kiasi nywele nyeusi. Watu wengi husema mm ni mpole.Nimejitokeza katika ukurasa huu ili kutafuta rafiki mmoja tu wa kike awe mkarimu ambaye...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Naitaji binti wa kuoa sina ubaguzi wa rangi ila awe mrefu kiasi.Umri ni kati ya miaka18_35.Namba yangu ya simu.0652463552.sms zitajibiwa.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta mwanamke wa kuwa nae kimapenzi, sijali umri yoyote yule ilimradi tuwe wapenz.mi nipo dar naomb nitafute kw number 0652868486 naitwa Muddy
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi ni mwalimu nafanya kazi katika jiji la Mwanza natafuta mchumba ambae yuko tayari kuolewa sasa mimi ni mkristo. awe na umri kuanzia miaka 22 mpka 30. awe na kz au hana haina shida. akitoka ktk...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mimi ni mtumishi serikalini nipo Mwanza, lonely familia yangu ipo Mbeya natafuta rafiki wa story na kubadilishana mawazo kushare lonely experience.Interested PM
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari, Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 25 natafuta mpenzi ambaye yuko tiale kupima UKIMWI Kama uko tiari ni pm
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ni kijana ninaesoma chuo kimoja hapa jijini Mbeya. Natafuta Msichana(18yrs-30yrs) wa ukweli ambae tutasukuma haya maisha ya chuo. Awe mwanafunzi au Mfanyakazi(Sio za ndani). Mi ni mrefu. Sio...
0 Reactions
0 Replies
829 Views
Natafuta na Nahitaji mwanamke mwenye kujielewa, mkweli, mwenye true love, anayejuakupenda na kuthamini kupendwa anayejua nini maana ya mahusiano naamini age ni namba tu but age yangu ni 26 old am...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani kina dada/mama,mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 42,NAITAJI MKE lakini jamani sina ajira/kazi yoyote ile,yule mwanamke ambae atarizia na atakaekubaliana na hali hii tafadhali naomba...
0 Reactions
80 Replies
11K Views
Habari za humu wapendawa, Ni msichana umri miaka 23,nahitaji mme mwema mwenye kujitambua umri miaka 26-35. Alie tayari ani pm
1 Reactions
31 Replies
4K Views
- Nina umri wa 32 - Sijaolewa, sina mtoto - Mkristo mkatoliki - Nina elimu ya chuo - Mwajiriwa Serikalini - Nina hofu ya Mungu ndani yang. Natafuta mwanaume ambaye na yeye anahitaji mwenza kama...
0 Reactions
85 Replies
9K Views
Je umetelekezwa na mume/ mchumba/ boyfriend na amekuachia mtoto ambaye hamtunzi na wala hamjali? Nimejitoa Kuwa sadaka kwa watoto wapweke wasio na baba. Wajibu wangu utakuwa Kuwa karibu na mtoto...
1 Reactions
33 Replies
3K Views
I'm 50 by December, natafuta mtu 30-50 yrs old.Iam in UK nina kazi siyo ya box. Haya lete habari
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tafadhali, Mimi ni mwalimu wa secondary, najua yupo anaenifaa humu. Ni pm kama upo tayari
0 Reactions
5 Replies
2K Views
b BOY mura kutoka musoma natafuta rafiki wa kubadilishana mawazo awe na umri kati ya miaka 18-23 Karibuni no 0757693949
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari, Nipo Dubai natafuta mwanamke wa kuchat nae na kubadilishana mawazo. Kama Uko Dubai, Sharjah, Deira ni PM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu waungwana, Najitokeza hapa kutafuta mchumba muislam ambae Mungu akijaalia aje kuwa mke wangu,nipo serious nahitaji kuwa na mchumba kwa wakati husika,mimi ni muajiriwa Serikalini na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom