TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 11,005
- 22,110
Je umetelekezwa na mume/ mchumba/ boyfriend na amekuachia mtoto ambaye hamtunzi na wala hamjali?
Nimejitoa Kuwa sadaka kwa watoto wapweke wasio na baba. Wajibu wangu utakuwa Kuwa karibu na mtoto, kucheza nae, kumfundisha maadili mema/ hofu ya Mungu, kumfundisha maarifa mbali mbali ya mtaani, darasani na nyumbani.
Sihitaji mahusiano ya kingono na mama wa watoto, wito wangu ni ulezi tu.
Nimejitoa Kuwa sadaka kwa watoto wapweke wasio na baba. Wajibu wangu utakuwa Kuwa karibu na mtoto, kucheza nae, kumfundisha maadili mema/ hofu ya Mungu, kumfundisha maarifa mbali mbali ya mtaani, darasani na nyumbani.
Sihitaji mahusiano ya kingono na mama wa watoto, wito wangu ni ulezi tu.