Arsenalist
Member
- Oct 4, 2013
- 74
- 46
Ni kijana ninaesoma chuo kimoja hapa jijini Mbeya. Natafuta Msichana(18yrs-30yrs) wa ukweli ambae tutasukuma haya maisha ya chuo. Awe mwanafunzi au Mfanyakazi(Sio za ndani).
Mi ni mrefu.
Sio Mwembamba wala Mnene.
Black
Karibu PM kama tupo pamoja katika hili
Mi ni mrefu.
Sio Mwembamba wala Mnene.
Black
Karibu PM kama tupo pamoja katika hili