Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Naitwa Mudy natafuta mpenzi mwenye mapenzi ya kweli ili ikiwezekana baadae aje kuwa mke wangu. Sifa awe mnene na pia awe na kazi yoyote ile mimi nipo Dar ke. Mawasiliano nipigie no.0652868486
0 Reactions
0 Replies
723 Views
Mimi naishi Arusha ni kijana mstaarabu nilieajiriwa Serikalini mwenye kipato cha kawaida. Nahitaji kupata mwanamke atakayekuwa rafiki yangu. Sifa; 1. Awe anajiweza financially kwani kipato changu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Guyz, Mimi ni ME nmetua jana mwanza but lonly hatari hata viwanja sivijui kwenye girl yoyote alie mwanza ani pm siyo kwa mahusiano ya kimapenzi lakini,only friends kwa walio mbali for charting...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta mwanamke humu kwa ajili ya mahusiano ya muda mrefu ya kimapenzi. Awe na umri usiozidi miaka 35. Awe ni mtanzania anayeishi Dar au awe anapenda kuishi Dar. Awe hajaolewa wala juzaa...
0 Reactions
1 Replies
760 Views
Kichwa cha habari chajieleza, Kutokana na jeuri aliyonayo mke wangu,natafuta mwanamke atakayenifariji kipndi hiki kigumu hukunikitafuta njia za kuachana na huyu mwanamke coz nimechoka sasa! Kama...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Amepatikana
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Nilishaoa, ndoa ikavunjika 2013,miaka 36, mrefu wa 6ft, handsome, msomi nina degree, naishi Dar. natafuta binti wa Kisukuma/Kinyamwezi awe mrembo mweupe mrefu angalau 5.5ft, mkristo, elimu kuanzia...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Hello my fellow JF Members, Mimi ni msichana mwenye miaka 33, msomi, na ni muajiriwa Serikalini. Carreer-wize I am doing ok but I think it's about time I meet my future husband & soulmate wangu...
6 Reactions
57 Replies
6K Views
Habari, Natafuta mwanamke wa kunizalia mtoto,umri wangu ni 30, nitamtunza na kutimiza mahitaji yake yote. Alie Tayari ani pm ilikufikia lengo hilo mimi npo Dar.Awe na miaka 24 mpk 32. Karibu sana
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nahitaji best wa kutoka nae Mm nipo migombani zanzibar kama yupo ani PM fasta
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Aliyetayari ni PM
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nataka msichana wa kuchat/kuflirt nae age 18-28.
0 Reactions
0 Replies
846 Views
Naitwa Muta nina umri wa miaka 22 natafuta mchumba. Kwa maelezo zaidi ni pm
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naishi mwanza, elimu yangu ni kidato cha 6, nina miaka 24, ninafanya vibarua vya muda kupata riziki, sina mpenzi kwa sasa ila nahtaji mpenzi mwenye sifa zifuatazo: 1. Asiwe mchoyo wa penzi 2...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Mimi nina umri wa miaka30 natafuta mke wa kuoa anaetoka morogoro sehemu yoyote. Awe tayari kuishi katika mazingira yoyote. Ni pm au nitafute kupitia email sethrodney21@yahoo.com
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta mwanaume mwenye umri wa miaka 38 na kuendelea
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 30, natafuta mke wa kuoa, mwenye mapenzi ya kweli, mwenye umri 20-30. Atayekua tayari ani Pm kwa mawasiliano zaidi Asanteni
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba kupokelewa jf jaman, hasa jukwaa hili
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hi all, Natafuta rafiki wa kike wa kubadilishana naye mawazo awe na miaka 30-40 anayejielewa,msomi na ambaye anatambua nini maana ya maisha karibuni wanawake.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom