Kwanini usipige story na mkeo?
tena ajiunge cha buku Najua anatumia voda aongee mpk asubuh
Kwanini usipige story na mkeo?
Wenye wake huwezi wapata huku wameweka uzi...
Kwa hiyo anatunywesha chai?Hivi upo jamani?
Anatega tetere hapa...
Nipo HF ila ndio mara moja moja...
Jambo wewe lakini?
Mie mzima kabisa hofu na mashaka ni wewe ulioko matombo mbali na upeo wa macho yangu
Hahaha...
Karibu Matombo tujifiche siye wawili tu...
Haya nitumie nauli tuje tujifiche huko matombo maana murano ulikataa kuninunulia