Natafuta mwanamke kwa ajili mahusiano ya muda mrefu ya kimapenzi na awe yuko huru,umri asizidi miaka 35.Awe ni mtanzania anayeishi au yuko tayari kuishi Dar.Awe mkristo hai anayemcha Mungu.Maombi...
Am looking for a life long partner aged 28-38 am 41, she shouldcome from or be from one of the following tribes Singida, Maasai, Meru, send me a private mesage.
Natafuta mwanamke aliye tayari kuolewa umri miaka 18_37 sina ubaguzi wa rangi wala kabila ila awe mrefu kiasi.napatikana kwa no.0752590897.kama aupo tayari please tusipotezeane muda.
Natafuta mchumba mwenye sifa hizi;
1. Awe na umri usiozidi miaka 32
2. Elimu kuanzia diploma
3. Mkristo au muuslam aliyetayari kubadr dini na kuwa mkristo
4. Mcha Mungu
5. Anaejitambua kama mama...
Habari zenu waheshimiwa,
Nahitaji msichana ambaye nitaweka naye malengo ya mimi na yeye kuja kuwa mke na mme hapo baadae so hata kama bado anasoma(chuo) si vibaya.
Nipo seriuos katika...
Habari zenu waungwana,
Nimejitokeza humu kutafuta mchumba,nahitaji mwanamke aliye seriously,mimi ni mtumishi wa Serikali,sihitaji mwanamke mwenye kazi,ila nahitaji mwanamke nwenye elimu ya...
Jambo Tanzania?
Mimi ni Edu, 26.6 njoo tufanye maisha ila sifa ndio lazima uwe unajua kuongea na kusikia Kihaya au Kinyambo au Kiganda au Nyankole, tena uwe Mkristo, elimu yako weka kando ila uwe...
Awe na uwezo wa kutuliza akili yangu na kunifanya nisahau niliyokutana nayo,ajitahda sna kuwa mwaminifu.
Awe binti make mie mwanaume.
Mengine call 0768688289;
Nahitaji rafiki wa kike wa kuchat nae! asiwe ameolewa, awe mwenye heshima kwa rika zote!!! asiwe mlevi, asiwe mpiga vizinga.kama upo tayari ni PM
Fursa fursani wakuu!
Poleni na mihangaiko wadau,
Mimi ni kijana miaka 27ninafanya kazi kati moja ya mashirika ya umma ninatafuta mchumba (msichana) niko serious kwa hilo,ninaomba aliyetayari ani pm.
Muwe na usiku mwema
Napenda kuomba radhi kwa wadau wote wa humu mara nyingi ninapoingia jf huwa si logo aut. Najina na paswed hubaki free
Hivo kuna mti alitumia sim yangu na namba yangu akaweka ujumbe hapo juu bila...
Habari wa Jf,
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 26,natafuta binti aliyetayari kuingia kwenye mahusiano na mimi naomba awe mkristu,umri 18-23,anayejitambua.
Aliyetayari ani pm tufahamiane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.