Natafuta mke lakini sina kazi!!!!

Natafuta mke lakini sina kazi!!!!

Mnyella

Member
Joined
Aug 8, 2012
Posts
43
Reaction score
6
Jamani kina dada/mama,mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 42,NAITAJI MKE lakini jamani sina ajira/kazi yoyote ile,yule mwanamke ambae atarizia na atakaekubaliana na hali hii tafadhali naomba tuwasiliane kwa email address ifuatayo mnyella@ovi.com
 
Cjaelewa elewa!anatafuta mme ama mke?kazi ya mwanaume ni kumlisha,kumvisha na kutake care vyote vinavyohusiana na mkeo na hata kama ana kazi usitegemee mshahara wake,,hapo ndo utapata heshima yako kama mwanaume,,haya endelea kutafuta niliona ktk gazeti moja la udaku wanatafuta wenza nafikiri litakufaa maana mabinti wa JF wapo juu wanataka mtu responsible.kwanza una qualification gani?
 
Ahaaa jamani acheni kumshambulia huyo Mnyella,mm ninachomsifu amekuwa muwazi,ameeleza ukweli,kina dada wengi umu jf wanatuogopa sana wanaume kwa ajili ya uongo,utakuta mtu anajipaisha tu,mdada anapoteza muda mpaka hatua ya mwisho mdada anagundua ni muongo,kwaiyo Mnyella naona kaeleza ukweli tumpe moyo anaweza akapata na nyie madada huyu Mnyella kaeleza ukweli,mlitaka adanganye na baadae ujute,madada naomba mpongezeni sio wa kupotezeana muda,Mnyella mm nakupongeza umeweka kila kitu wazi na utapata,kwani wapo wanawake wanaopenda ukweli kuliko kuwa muongo,poa Mnyella utapata tu mzee!
 
Duuh 42 halafu unataka kuwa Mario, nilifikiri hii biashara ni kwa hawa masharobaro wa kileo. Mimi naona ushauri wa King Kong III ufanyie kazi.
 
Last edited by a moderator:
ukipata mke automatically utakuwa umepata kazi pia.
usihofu kuhusu kazi, mke ndiyo kazi yenyewe.
Endelea kutafuta uyo mke.
 
Mkuu kwani ni kazi ndiyo inaoa au wewe
Kitu si kina fanya kazi tafuta mchumba fanya process zingine kwa expirience yangu ukisubiri hadi upate kazi nzuri muda unasogea na naona age ya kuoa inakutupa mkono
Ukiendele kukaa single pengine hujishughulishi sana ila uliwa let's say family kazi utapata tu
 
my dia, Love can not bring food on the table. pata shughuli ya kufanya uwe na kipato ndo ufikirie kuoa.

:sleepy::sleepy::sleepy: na ajitahid haraka coz majukumu na umri vinategemeana....
 
Jamani kina dada/mama,mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 42,NAITAJI MKE lakini jamani sina ajira/kazi yoyote ile,yule mwanamke ambae atarizia na atakaekubaliana na hali hii tafadhali naomba tuwasiliane kwa email address ifuatayo mnyella@ovi.com

Umetoa kali ya mwaka "huna kazi 42 years", sijui utasaidiwaje maana hata vijijini ambako ajira ni moja tu kilimo cha mkono mtu anapata mke kwa uwezo wa kushika jembe na kufanya kazi mbalimbali za kijamii hata kama haziingizi kipato lakini wewe ni noma ninabaki kwenye ???!!! Mbaya zaidi kwa age yako ukipata binti mwenye 25 years maana yake chance ya kuwa mjane huyo binti ni kubwa maana binti akifikisha 50 years wewe unakuwa KWISHINEI kutokana na hali yako ya AJIRALESS (mwili utakuwa umechoka kabisa)
 
ukipata mke automatically utakuwa umepata kazi pia.
usihofu kuhusu kazi, mke ndiyo kazi yenyewe.
Endelea kutafuta uyo mke.

Hii inawezekana tu kwa jamii ya wafugaji kama kule kwa ndugu zetu Wakurya mwanaume anaoa wanawake hata wanne na kila mwanamke anachacharika mwanaume kazi yake kukusanya mapato toka kwa kila mwanamke na kukaa na wanaume wenzake wanapiga story BUT hata hao wana kianzio hata ng'ombe mmoja kwa kila mke mwisho wa siku wake zake wanaleta mabadiliko
 
Unajua kazi za nyumbani Kama kupika, kuosha vyombo, kupasi, kuogesha watoto, kutengeneza garden na maua, kufua?
manake utamsaidia kusave hela ya maid.
 
Mkuu kwani ni kazi ndiyo inaoa au wewe
Kitu si kina fanya kazi tafuta mchumba fanya process zingine kwa expirience yangu ukisubiri hadi upate kazi nzuri muda unasogea na naona age ya kuoa inakutupa mkono
Ukiendele kukaa single pengine hujishughulishi sana ila uliwa let's say family kazi utapata tu

Kasheshe linapokuja suala la kutoa mahari sijui itakuaje maana hizi mila zetu nazo wakati mwingine zinawaweka pembeni baadhi ya watu ambao wana dhamira ya kweli na hili jembe letu nalo ni ajiraless sijui litafanyaje
 
Ahaaa jamani acheni kumshambulia huyo Mnyella,mm ninachomsifu amekuwa muwazi,ameeleza ukweli,kina dada wengi umu jf wanatuogopa sana wanaume kwa ajili ya uongo,utakuta mtu anajipaisha tu,mdada anapoteza muda mpaka hatua ya mwisho mdada anagundua ni muongo,kwaiyo Mnyella naona kaeleza ukweli tumpe moyo anaweza akapata na nyie madada huyu Mnyella kaeleza ukweli,mlitaka adanganye na baadae ujute,madada naomba mpongezeni sio wa kupotezeana muda,Mnyella mm nakupongeza umeweka kila kitu wazi na utapata,kwani wapo wanawake wanaopenda ukweli kuliko kuwa muongo,poa Mnyella utapata tu mzee!

Mie najaribu kuleta assumptions, japokuwa kuwa hana ajira huenda alishawahi kufanya kazi na akanunua assets mbalimbali kama nyumba na gari pia kwa kuwa amekuja humu JF bila shaka anamilki simu au lapto hivyo akianzia hapo anaweza kupata mtaji na kutoka hivyo kinadada msihofu.
 
Jamani kina dada/mama,mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 42,NAITAJI MKE lakini jamani sina ajira/kazi yoyote ile,yule mwanamke ambae atarizia na atakaekubaliana na hali hii tafadhali naomba tuwasiliane kwa email address ifuatayo mnyella@ovi.com

Nakushauri utoke hata nje ya hapa maana miaka 42 si michache. wewe mwenywe hujiamini maana unajijua tatiz ni kazi, lakini naona bado litakuwepo jingine! Jitume wadada wapo kibao wanaomba kuolewa NI WEWE TU
 
Back
Top Bottom