Nahitaji mke mwema,awe na umbo kubwa kidogo(mnene wastani) miaka 20-25, elim chuo au f4, mimi nina 30yrs mnene,urefu wastan, kipato changu kwa mwez ni 150 000/tu. bia huwa nakunywa maramojamoja...
Mimi natafuta rafiki wa kike wa kuchati naye.Awe na miaka 25 hadi 35.Mimi nina miaka 30 na sibagui dini wala kabila na elimu yangu ni degree moja.
Namba zangu ni 0784789817
Asanteni
Naitwa james wa mbezi beach natafuta mtoto mzuri niwenae mapenzi yakikorea tuoane , ninaumri wa miaka 25na ninafanya kazi TRA, binti awe mrefu kiasi mwenye miaka 18-23 na mwenye tabia nzuri namba...
Niaje ni vipi humu,ebwana eeh soon na hapo mjini kati Arusha.
Nahitaji marafiki huko wa Jinsia yoyote,mimi ni Boy 22yrs.
Aliyetayari anicheki 0718388638
Habari,japo Ninakipato Kidogo Nitajiri Wa Furaha Na Upendo .jinsia Yangu Ni Mwanaume.Natafuta Mke Ataenipenda Kwa Kila Kitu.Sina Kaz Ya Uhakika Ila Inaningizia Kipato Na Kufanya Mambo Makubwa.Mke...
Naitwa xamwel kutoka kwa wakulima wa ndiz a.k.a the green city. natafuta mchumba, mwe umri wa miaka 18_20. kama upo tayal nitafute kwa 07144356910 au mwakalikenes@gmail.com. thanks
Tafadhali rafiki ndugu najamaa wote,
Usitumie namba 0759919873 endapo huna jambo la maana na lenyekujenga.Toa hoja ya maana kwakutumia hekima na busara. Pia ileweke namba hyo si kwaajili ya...
Nahitaji binti mwenye sifa zifuatazo:
1. Mrefu but sio saana.
2. Blackbeauty, mweupe, maji ya kunde. awe na kashepu, si manyama uzembe.
3. Umri 18-24
4. Awe anajua maisha, so mtu wa kuwaza club...
Habari za humu jamani natafuta bnt miaka 18-25 mwenye mapenzi ya kweli na muaminifu atakae kua tayari kufunga ndoa hapo baadae pls 0715655508:
Nipo dar es salam
Sent from my BlackBerry 8520 using...
natafuta mchumba wa kike aliye muislam anaeishi zanzzibar umri kuanzia miaka 20-45 alieko serious na hili naomba sana uwe serious katika hili ili tuweze kuondosha ubabaifu katika jamvi kwa maelezo...
Hodi!
Nataka kupata rafiki moja ambaye angependa kuzungumza nami kwenye facebook katika kiswahili. Ningependa kujua zaidi kuhusu tofauti yetu ya jamii na siasa nk., na pia kufanya mazoezi...
for long time i have been here writing jokes and false stories but here am very serious
natafuta mwanamke matured awe mnene;maji ya kunde umri 28-32..njoo pm kama upo ready..am a boy 24 yrs
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.