Habari wakuu,
Natafuta mwanamke wa kuzaa nae mtoto nitamtunza na kumpa mahitaji yote namanisha makuzi,kuvaa,malazi,chakula,na kumsomesha.Mwanamke ninaemuitaji awe anaishi Dar,Morogoro na Pwani...
Mimi ni mwanaume wa miaka 4, natafuta mke mwenye umri wa kuanzia miaka 40 na kuendelea,Tafadhali, nina nia ya dhati na ya kweli toka moyoni naitaji mke wa Maisha, mwanamke mwenye nia kama yangu...
Sura sio tatizo ila awe na makalio makubwa, asiwe bonge sana, awe maji ya kunde , na awe anapenda faragha kiasi nikirudi job tu nampa doziiii, awe tayari kufundishwa gari.
Namba za simu aweke...
Baada ya kusalitiwa na aliyekuwa mpenzi wangu nikaamua nikae alone kwa muda sasa, moyo umepona natamani sasa kupendwa na kupenda tena.
Natamani nimpate mdada nitakayempenda kweli naye anipende...
Mimi ni binti wa miaka32 Nina mtoto1 wa miaka5 nimeokoka nampenda yesu umefika wakati nahitaji mwenzi wangu wa maisha awe na umri34-42 awe mwenye mapenz ya kweli atakaenipenda km nilivyo mtafutaji...
Natumaini ni wazima wa afya,
Natafuta mdada ambaye yuko serious na yupo tayari kuolewa awe anatoka mkoa wa MOROGORO au MBEYA au IRINGA au NJOMBE au Jijini DAR.
Sifa;
1. Umri miaka 18--25
2...
Nimetumwa na mwanamke kwamba anahitaji mchumba mwema ambae atakua mme wake baadae awe mcha Mungu na awe na upendo wa kweli.
Ambae yuko tayari amtafute kwenye 0715333218
Mimi ni kijana wa miaka 29, urefu wangu ni wa kati, si mnene si mwembamba; niko kati, rangi ya ngozi yangu ni mweusi kiasi na ki ujumla niko kawaida sana na ninajiamini kwa nichokifanya, nina...
Umri wangu ni miaka 32, natafuta mke wa kuoa mwenye umri kati ya miaka 21 hadi 25 awe mcha Mungu, awe na adabu njema pia awe mtulivu. Nina uhitaji kweli kweli.
Kwa yule atakayekuwa tayari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.