Natafuta mdada wa kumuoa

Natafuta mdada wa kumuoa

CHIEF JJ

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
1,075
Reaction score
357
Natumaini ni wazima wa afya,

Natafuta mdada ambaye yuko serious na yupo tayari kuolewa awe anatoka mkoa wa MOROGORO au MBEYA au IRINGA au NJOMBE au Jijini DAR.

Sifa;
1. Umri miaka 18--25

2. Elimu kuanzia darasa la saba mpaka diploma tuu

3. Awe nesi,mwalinu au police

4. Asiwe mfupi sana

5. Asiwe mlevi wala mvuta sigara na madawa ya kulevya

6. Awe msafi wa mwili na nguo zake

8. Mengine tutalekebishana

Mimi nina degree moja na CPA(T) na nina umri wa miaka 27 na nimwajiriwa Serikalini.
AMBAYE YUKO TAYARI TUWASILIANE KWA johnjerryson2012@gmail.com

Note;
Kama huna sifa taja hapo juu usinisumbuwe
 
Ok akirudi ntamwambia akutafute,umesema unaishi wapi vile?
 
Je akiniuliza kama una kazi ya maana na gali ya kuendea kwenye ibada nimwambieje?
 
Nakupm mchumba, hii thread kama umeniandikia mie vigezo vyote nnavo sifa zote nnazo
 
Polisi we tafuta bar meid piga tu (PT) akija polisi wa kike mwambie na tafuta mchunba umewin
 
hahahah chief buana naona umekuwa domo zege sasa unatafuta mke uku umejificha kwenye keyboard

umeanza dharau? au mie nawataka warembo wa humu niowe mmoja na siyo hivyo Mungu ameniotesha kuwa mke wangu mwema yuko humu jf na siyo kwingine so acha.zako mkuu
 
umeanza dharau? au mie nawataka warembo wa humu niowe mmoja na siyo hivyo Mungu ameniotesha kuwa mke wangu mwema yuko humu jf na siyo kwingine so acha.zako mkuu

sawa chief utampata ila usije ukarudi hapa unalia kisa umempata mwanamke wa ajabu kutoka jf, hahahaha chief buana
 
Je akiniuliza kama una kazi ya maana na gali ya kuendea kwenye ibada nimwambieje?

mwambie ninayo na sitegemei salary sana nini mambo yangu mengine yananiingizia kipato cha kutosha tuu na gari zipo mbili tuu ya kutembelea na daladala ipo barabarani inaleta pesa
 
sawa chief utampata ila usije ukarudi hapa unalia kisa umempata mwanamke wa ajabu kutoka jf, hahahaha chief buana
humu wapo wazuri mkuu maana wabaya wabaya wapo wachache sana na siyo wale wenye sura ngumu ambaye ukitaka kupiga mambo lazima umfunike usoni na kanga ndiyo upige mambo
 
Mbona sifa zako ujatoa zieleze ukoje ili hao wachumba unaowatafuta wajue usije ikiwa una ulemavu ..
 
humu wapo wazuri mkuu maana wabaya wabaya wapo wachache sana na siyo wale wenye sura ngumu ambaye ukitaka kupiga mambo lazima umfunike usoni na kanga ndiyo upige mambo

Unafikiri mwanamke wa kuoa vigezo vyake vimejengwa kwenye uzuri wa sura? chief buana
 
Unafikiri mwanamke wa kuoa vigezo vyake vimejengwa kwenye uzuri wa sura? chief buana

mwanamke anatakiwa awe.na kasura hata kazuri mkuu ili siku ya kutoka out au hospital usianze kujiuliza kuwa atangulie au nitangulie yani unakuwa hauko confortable
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom