raia_mwema
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 479
- 314
Baada ya kusalitiwa na aliyekuwa mpenzi wangu nikaamua nikae alone kwa muda sasa, moyo umepona natamani sasa kupendwa na kupenda tena.
Natamani nimpate mdada nitakayempenda kweli naye anipende... popote pale iwe humu jf au kwingineko, maana moyo unahitaji upendo.
Mimi nina 28yrs, nina elimu ya kutosha, nina kipato cha kunitosheleza kujikimu kimaisha, ni mkristo, napatikana Dar na ikimpendeza Mungu basi tutaenda step nyingine .
Nampenda mwenye hofu ya Mungu, na asiwe mfupi please nipm.
Natamani nimpate mdada nitakayempenda kweli naye anipende... popote pale iwe humu jf au kwingineko, maana moyo unahitaji upendo.
Mimi nina 28yrs, nina elimu ya kutosha, nina kipato cha kunitosheleza kujikimu kimaisha, ni mkristo, napatikana Dar na ikimpendeza Mungu basi tutaenda step nyingine .
Nampenda mwenye hofu ya Mungu, na asiwe mfupi please nipm.