Natafuta mke sifa hizi

Natafuta mke sifa hizi

tamimusalim

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
1,822
Reaction score
501
Sura sio tatizo ila awe na makalio makubwa, asiwe bonge sana, awe maji ya kunde , na awe anapenda faragha kiasi nikirudi job tu nampa doziiii, awe tayari kufundishwa gari.

Namba za simu aweke hapo, mimi naishi geita ni mtahalam wa kitengo cha miamba acacia gold mine,sijali kama aliwai kuolewa au vipi kama ana watoto mwisho 1 tu.

Aweke namba za simu atapigiwa fasta na alipo aseme ikiwezekana atumiwe nauli, kama ataona noma aende private sms tutawasiliana pia.
 
Ukishamfundisha gari unamnunulia gari au hill hilo mtakuwa mnagombania?maana unajua kitu ukishajua unavyokuwa na mchecheto
 
Ukishamfundisha gari unamnunulia gari au hill hilo mtakuwa mnagombania?maana unajua kitu ukishajua unavyokuwa na mchecheto

hahahahahahaha.....mi nimefurahi tu kukuona!
 
Ukishamfundisha gari unamnunulia gari au hill hilo mtakuwa mnagombania?maana unajua kitu ukishajua unavyokuwa na mchecheto

Mimi gar si shida ila usijar litakuwa lake vp mkuu unataka kuzuiya iyo nafas nini naona kama sifa unazo vile
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom