Mwanaume wa kiislam mwenye umri kuanzia miaka 30 na kuendelea, anaejua dini na maana ya Uislam, mwenye kufuata misingi ya dini ya kiislam anahitajika hapa, nina miaka 28 ila sina mume kwani...
Kama kichwa kinavyojieleza
umri wangu ni miaka 23 ,
Nimehitimu chuo
Naishi dar, mkristo
Natafuta rafik wa kike umri 18-23, mwenye hofu ya mungu...awe dar.
Natanguliza shukrani za dhati, katibu pm
Salaam,
Natumaini mu bukheri wa afya ndugu zangu. Moja kwa moja kwenye mada:
Natafuta mpenzi, awe dada wa makamo anayenizidi umri, hivyo kwa makadirio awe kati ya 26-35, binafsi nina miaka 25, ni...
Natafuta mke mtanzania tuishi wote hapa USA.
Umri wangu miaka 40 na yeye awe na miaka kuanzia 26 mpaka 35
Awe Muarabu au half cast, awe Muislam
Serious please tuwasiliane PM
Me ni boy to men,nahitaji mdada wa kuchati Nae Miaka22-30.Awe anauwezo wa kuchati bila ya kusema salio limeisha nirushie huku hapo.
No zangu 0682321571 kubip unaruhusiwa mara moja.
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.