Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari wana jamvi!!! Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka30 natafuta mchumba. Vigezo na masharti sina.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naamini mchumba anapatikana popote pale iwe sokoni, kanisani, kwenye social network n.k Mimi ni kijana mtanzania, ni mkristo, nina elimu ya shahada n pia ni muajiriwa... natafuta rafiki wa...
0 Reactions
0 Replies
784 Views
ni pm Please... nipo MBEYA
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Boys and girls
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wanajamii, Natafuta marafk wa kike wanaopenda kuchat, kupeana kampani na kwenda out. Professionally nimesomea Information Technology, nimehitimu mwaka 2011. I am 28 years. Even older women...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari, Kama wewe ni mdada mpweke naomba kampani yako, mimi nipo alone muda wotw ni mpweke saana nahitaji kampani yako please sichagui umri wala chochode! Mimi nina miaka 28. Please in box...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za kwenu wana jamii wenzangu. Jamani nipo serious sana katika hili naomba kwa wew mdada uchukulie uzito unaposa uzi huu mizaha/utani weka pembeni. Naomba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu, Natumai ni wazima wa afya njema,mimi ni kijana nina umri wa kati ya miaka 30 hadi 37,nahitaji mke,kama una umri kuanzia huo hapo usisite kunitafuta au hata kama una zaidi ya hapo...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
natafuta msichana wa kuchati nae awe na umri kuanzia miaka 17-20,dini cyo kigezo bt mkrixto ni xifa ya ziada,awe anapenda mabadiliko pia maendeleo tuweze kubadilixhana mawazo na awe mvumilivu...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mimi ni mfanyabiashara maarufu wa kusafirisha magari kwenda nchi mbalimbali nje ya nchi natafuta mwenza wa kuishi nae awe mwanamke mrembo kati ya miaka 20 mpaka miaka 24. Ambaye yuko tayari ni...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
ok .
0 Reactions
7 Replies
2K Views
HABARI mimi natafuta marafiki wa kike wa kuchati aliye tayari kuitikia ombi langu ani pm namba yake ya simu tuchart,thx.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
We can chat en share some experiences via watsappp by +255714842163 mind cant be generated by u're own idea or by ze same same friends ...bt try to oversea other boundaries.....by'' abraham lincolin''
1 Reactions
0 Replies
878 Views
habari zenu wanajamvi... Ninaimani muwazima wa afya.... dhumuni La kukimbiliaa apa jamvini, kwa mdada ambaye yupo single naomba ani PM maana nahitaji Faraja.. Nimwaka sasa toka niachane...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Asanteni kwa ushirikiano ila nimejifunza mengi sana humu Jf sikukata tamaa.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 25 pia ni mtumishi wa Serikali katika sekta fulani natafuta msichana wa kuishi nae mwenye umri wa kuanzia miaka 18-22 awe tayari kuwa mama wa nyumbani mwaminifu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mkopoa Makaka zangu na Madada zangu Natafuta binti wa kuoa au rafiki Awe na elimu kuanzia OLEVEL na kuendelea Awe mweusi asili ya Mwafrika Maana sihitaji mweupe kwa sababu Mimi naishi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mvulana mrefu,182cm mwembamba maji ya kunde. Naishi Tabora mjini, nahitaji binti wa KUOA . Elimu, nasoma degree chuo flani. Aliye tayari ani PM.
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Mengi yatajulikana baadae ila kiufupi tu natafuta mwanamke mwenye maadili. Nitakuwa 50 yrs old December hii but mama atafutwae awe na umri kuanzia 30 hadi hapo kwangu ila ningependelea awe kati ya...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Mko poa wana JF? Kama wewe binti na unataka mahusiano + mapemzi+ urafiki ? Au Hujaolewa na elimu chini ya Masters au O Level. Wasiliana nami kupitia Email Yangu redsonrivard@hotmail.com...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Back
Top Bottom