naitwa joh
Umri 20
Mkristo
Kabila ni mnyaturu
Naishi dar tabatasegerea
Friend of lowasa/ukawa
Mcheshi
Mkweli
Msafi
Nina akili ya maisha
Najua kuthamini
Nahitaji kupendwa na binti awe na umri...
SIFA ZA MTAFUTA MCHUMBA
>Mweusi
>Mnene wastani
>Urefu ni 158cm
>Mkristo
>Mtumishi wa serikali
>Naishi morogoro
>Umri 30
SIFA ZA MCHUMBA ANAYETAFUTWA
>Mweupe wa asili au maji ya kunde
>Umbo la...
natafuta rafiki wa kike, asizidi miaka 27 asipungue miaka 23, awe mkristo mwenye hofu ya Mungu ndani yake, itapendeza kama atakuwa mikoa ya DSM, pwani au Moro, awe na mtizamo chanya wa kimaisha...
1/ Awe na elimu angalau Advance level
2/ Umri usiozidi 25
3/ Awe white mwenye mvuto na anayejikubali
4/ /Awe na umbo la kawaida asiwe mnene wala mwembamba
6/ Awe na nidhamu na heshima kwa kila...
Natafuta mchumba wa kumuoa,narudia tena natafuta mchumba wa kumuoa kama tukikubaliana,umri usiozidi miaka 22,asiwe mnene na mwembamba sana,kama haupo serious usijaribu kuni Pm,mimi ni mtumishi wa...
Hi Jf, i am Tanzanian Man Aged 32, a degree holder looking for a woman who will marry me next year. So the one who will meet my favourable demand, aged 20-28, atleast bachelor degree, who don't av...
Helow wakuu,
Mimi ni mwanaume ninaejitegemea natafuta mwanamke kwa ajili ya kufarijiana tu yaan ambaye nikimuhitaji wakati wowote isipokua wa kazini awe tayari awe ana uwezo wa kujitegemea...
Habari Wakuu,mimi Mwanaume Natafuta Mke Wakuoa Mwenye Sifa Bora,asie Kua Na Mtoto,mweupe,elimu Dgree Ya Pili,mwenye Hofu Ya Mungu Kisawasawa,awe Mwajiriwa Au Kujiajiri Umri Miaka28-34,anaejua...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ndo ilivyo;
* Mimi ni kijana wa miaka kati ya 30 na 25 ; ni mwenyeji wa kanda ya kaskazini
* Pia ni mwajiriwa katika taasisi flani
* Nina diploma ya ualimu...
Mimi ni mwalimu shule ya msingi umri wangu ni miaka 26 na nafanya kazi wilaya ya Ulanga (MOROGORO) nahitaji mchumba awe na umri:20-23,awe mkristo,awe na mwili wa wastani,awe anajishughulisha si...
Naombeni kwa mwanamke mwenye vigezo vifuatavyo na aliyetayari kuwa kwenye mahusiano anitafute, mnene, mpole, mkweli, muwazi.
Kama yupo anitumie Email kupitia imani.mangowi@gmail.com
Umri wangu 28 mkristo, mwajiriwa serkaln, natafuta mume alie nawatoto pia tujenge familia, hata asiye na uwezo wakupata watoto.
Wanangu nina uwezo wakuwahudumia usihofu, ila upweke ndo...
Mimi Ni Mwanaume Naish Dar Natafuta Mwanamke Wa kumuoa.Awe Tayari Kunitafutia Kazi Kwn Na Stashada,kunilipia Ada Npo Chuo Kikuu Mwaka Wa Pili,sina Ubaguz Wa Kabila,rangi,dini,elimu.Kwa Maelezo...
Love is a beautiful thing as much as it hurts but its worth it when you have the right person to share with and I'm talking about everything that comes with it the whole package the laughter, the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.