Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari zenu marafiki, Ni mara yangu ya kwanza kujitokeza hapa nia na madhumuni ni kutafuta marafiki kwa ajili ya kubadilishana nao mawazo ya kimaisha. mimi naishi singida ni mfanya kazi kwenye...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
.
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Hi ladies; Sifa zangu: Ni msomi, mfanyakazi,Mkatoliki,mchaga,umri 30yrs na niko Dsm. Mwanamke ninayemtaka angalau akidhi vigezo vifuatavyo; Awe mkatoliki anayependa kusali na mwenye hofu ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamvi! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi ni mwanamke wa miaka 26 sasa...natafuta mwenye sofa zifuatazo. .Mcha Mungu, yaani mwenye hofu ya Mungu, awe mkristo tu.( esp...
4 Reactions
81 Replies
8K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 ni mwalimu natafuta mpenzi ambaye baadae atakuwa mke wangu awe mrembo mrefu mchapakazi.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
nipo Songea nahitaji mrembo yeyote aliye tayari kuwa na mimi na poa zaidi kama nitampata wa Songea!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
mwanaume mwenye mapenz ya dhati anahtajika for long term relationship ila asiwe mwalimu au mwanafunzi this iz serious so kwa maelezo ani Pm tuzingumze wa mkoa wa mbeya iringa na moro watapewa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
unajua kiswahili!??
5 Reactions
71 Replies
7K Views
Hello JF, Am 20+ yrs old, 171.2cm tall weighs 68Kg. Am looking for a serious girlfriend aged between 18 and 21... You can PM me if your serious... Just Be Real
0 Reactions
0 Replies
894 Views
Habari ndugu wa Love connect, Mimi ni kijana wa kiume na niko katika safu hii lengo likiwa ni kutafuta rafiki wa kike ambae atakua mchumba. Awe na sifa hiizi -Umri usizidi 30. -Awe...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
My Bro Anaenda South Africa, September 30. Anatafuta Demu wa kuhook up huko South. Bro atafikia Protea Hotel,Kimberley. Aliyeko serious PM NO CRITERIA
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Niite Silent Soldier Humu JF, natafuta marafiki wa kike na wakiume. Nipo dar ingawa nyumbani Dodoma. Nimeishi mikoa kadhaa; Tanga, Bukoba, Morogoro, Arusha, Tabora, nk Nimemaliza kidato cha...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Niite Silent Soldier Humu JF, natafuta marafiki wa kike na wakiume. Nipo dar ingawa nyumbani Dodoma. Nimeishi mikoa kadhaa; Tanga, Bukoba, Morogoro, Arusha, Tabora, nk Nimemaliza kidato cha...
0 Reactions
0 Replies
809 Views
Natafuta mpenzi. Umri kuanzia miaka 28 hadi 50. Asiwe mshabiki au mkereketwa wa CCM. Niko Moshi kilimanjaro kwa aliye tayari tuwasiliane PM.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nipo Dar natafuta msichana Mwenye umri kuanzia 18-23.Kwa ajili ya kuanzisha uchumba hadi kuoana.
0 Reactions
1 Replies
688 Views
Am looking a good garl/pretty one for charting and Shea's ideas am available Cont 0752763717 am wark national housing like customer car
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari, Natafuta mwanamke wa kuoa mwakani,elimu yangu ni shahada ya biashara (uhasibu),naishi Dar umri wangu ni miaka 31.nimtakae awe na miaka 25-33,awe mweupe,asiwe na mtoto,elim shahada,mwenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Shikamooni wadau, Mi kijana wenu nahitaji mwanamke ambaye atakua mjasiriamali,mchakarikaji kama mimi na awe mzuri na mcheshi na asizidi 30, mimi ni mwanafunzi wa Chuo pia Mjasiriamali mdogo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom