Kijiti
Senior Member
- Apr 24, 2011
- 190
- 27
Habari ndugu wa Love connect,
Mimi ni kijana wa kiume na niko katika safu hii lengo likiwa ni kutafuta rafiki wa kike ambae atakua mchumba. Awe na sifa hiizi
-Umri usizidi 30.
-Awe mfanyabiashara.
-Muelewa na mkarimu
Mengine tutaongea tutakavyokua tunafahamiana.
Tafadhali ni PM kama uko serious tuuuu.
Mimi ni kijana wa kiume na niko katika safu hii lengo likiwa ni kutafuta rafiki wa kike ambae atakua mchumba. Awe na sifa hiizi
-Umri usizidi 30.
-Awe mfanyabiashara.
-Muelewa na mkarimu
Mengine tutaongea tutakavyokua tunafahamiana.
Tafadhali ni PM kama uko serious tuuuu.