Wewe unaeangalia hiii post ndio nakutaka

Wewe unaeangalia hiii post ndio nakutaka

Kijiti

Senior Member
Joined
Apr 24, 2011
Posts
190
Reaction score
27
Habari ndugu wa Love connect,

Mimi ni kijana wa kiume na niko katika safu hii lengo likiwa ni kutafuta rafiki wa kike ambae atakua mchumba. Awe na sifa hiizi

-Umri usizidi 30.
-Awe mfanyabiashara.
-Muelewa na mkarimu

Mengine tutaongea tutakavyokua tunafahamiana.

Tafadhali ni PM kama uko serious tuuuu.
 
Back
Top Bottom