Natafuta mke wa kuoa

Natafuta mke wa kuoa

Siku hzi kuolewa hadi uwe na Account iliyo active, maana swali la kwanza kwenye interview ni:

Unafanya kazi wapi??????

Itabidi wanawake wakiolewa wasiwe wanazaa.
 
Hakuna cha maandiko wala nini wanawake wa siku hizi pasua vichwa kweli, ujuaji mwingi si mmetaka haki sawa...kuolewa hadi account isome otherwise your done.........hahahaaha Apologise lady

Haya!!! Bhana!!! Naona siku hzi mmeacha kuwa kichwa bali mnaishi kwakutuvizia (kutafuta makosa yetu)
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom