A wife material wanted

A wife material wanted

THE BROKER

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2014
Posts
765
Reaction score
950
Hi ladies;

Sifa zangu: Ni msomi, mfanyakazi,Mkatoliki,mchaga,umri 30yrs na niko Dsm.

Mwanamke ninayemtaka angalau akidhi vigezo vifuatavyo;
Awe mkatoliki anayependa kusali na mwenye hofu ya Mungu,mchaga,umri 23-26,mfanyabiashara/kazi,mnene kiasi,elimu chuo(mwanasheria/mwalimu poa zaidi) na mwenye kujiheshimu kimavazi. Mwisho awe anaishi Dsm

Kwa asie na elimu awe mfanyabiashara hapo tutaenda sawa.

So plz pm utapata majibu
 
Una hela???? Una Nyumba???? Una gari????

Ukijibu haya maswali watakuja wengi tu.
 
Hahahahaha kha vijana wa siku hizi mna kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom