Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Hai natafuta rafiki wa kike nichati nae mimi nipo Morogoro nae awe wa Morogoro awe mkristo elimu form4 na kuendelea umri miaka 20 hadi 23. Ani PM alipo tayari tuwasiliane.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mimi pia ni mwanaume mtu mzima natafuta mke nae awe mtu mzima wa kuanzia miaka 45 na kuendelea
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wana Jf naomba ridhaa yenu na utayar wenu katika hili. Nahitaj na kutafita binti mlokole ambae yuko makini na tayar kwa kua katika mahusiano ya malengo. Pia asiwe muongo. Aliyekua tayar tafadhali...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari za majukumu wadau, Nimeachana na mchumba wangu 1 month ago nimekuwa mtu wa mawazo (stress) sana. Nahitaji smart single lady wa kuchat nae atleast kunipotezea haya mawazo. Elimu yangu ni ya...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Ni mwanaume nina 26 yrs. Ninakazi yangu na maisha ya maana kabisa. Nina elimu ya juu sana nipo Morogoro nahitaji mchumba wa kuoa. Tabia haijalishi nitairekebisha mwenyewe nipo vizuri...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Natafuta marafiki wa kiume kuanzia miaka 38 mpaka 50,wawe single.
2 Reactions
50 Replies
9K Views
Siku mbili zijazo nitakua na trip ya kama week mbili mjini manchester,natafuta kampani ya marafiki wa kike walioko kwenye huo mji.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 20.Ni mrefu kias,rangi ya maji ya kunde,mtanashati,najua kupenda,niko vizuri in short.Nipo form 6 now.Natafuta msichana wa kuwa nae as my girl friend awe...
0 Reactions
40 Replies
3K Views
Natafuta rafiki wa kiume kwa ajili ya kubadilishana mawazo. Umri kati ya miaka 25 -40.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habar zenu wadau,,,nmekuwa mdau wa hili jukwaa kwa miez kadhaa.ila nmegundua kuwa co vyema kuweka contact zako humu ndan hasa unapotafuta Girl friend ama mchumba.yaan kuna usumbufu mkubwa...
1 Reactions
2 Replies
840 Views
Baada ya kuchoshwa na vijana wenzangu,nimeamua kuja hapa kumtafuta mdada mtu mzima kidogo age 30 and above.Any interested woman tukutane PM.age yangu 28.OVER
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Shukrani.
0 Reactions
0 Replies
613 Views
call me if ur real in it 0712-423935
0 Reactions
0 Replies
967 Views
I need any lady around rock city Mwanza,smart well defined morphologically,gorgeous, Agae 20-26 husband free If interested please PM me
0 Reactions
0 Replies
787 Views
Hello i am Aisen by Name and i am a Man Natafuta rafiki wa kike waku chat nae na ku badilishana mawazo.ikiwa Dodoma ita kua poa zaidi Kama uta hitaji ni PM.
0 Reactions
0 Replies
877 Views
Rafiki yangu anatafuta rafiki then awe mke.Awe yupo Arusha,miaka 23-25,umbo la kawaida,mweupe.Yeye ni mwalimu ana BA. Karibu
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari mimi sina mengi, ila nahitaji marafiki wa kuchat nao whatsapp. Yoyote yule ataependa.0768325632
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Natafuta rafiki wa kuchat wa kike, awe mwalimu au daktari. Karibu sana
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hello am 21 yrs old,niko Arusha ,natafta girlfriend ambaye ntakua nae 4 fun en kupeana nae raha...en km anahitaji 2kapime b4 kua wote ni poa....km uko tayari niPM ....kigezo ni kwamba uwe na miaka...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom