Dada mmoja mwema anifuate PM

Dada mmoja mwema anifuate PM

Abimeleki

Member
Joined
Nov 9, 2015
Posts
61
Reaction score
13
Natumaini hamjambo wana jamvi, kuwepo humu ndani fursa ya kufahamiana pia ili kutengeneza upendo na amani zaidi katika jamii yetu kwa njia ya urafiki, karibuni wadada kwa urafiki, nifikishie ujumbe pm tafadhali!
 
Warembo fursa ndo hyo co mje mlalamike tena oooh! Mmelogwa
 
Mmmmmm fursa nyengine zinatishaaa,sasa huyu Mkaka anasema yeye mahitaji yake tuu mbona haweki na yeye alivyo ili warembo wakachagua kama anafaa au hafai kwa matumizi ya Binadamu?
 
Wanaoelewa hatua za mambo ya mtandao katika mahusiano wanajua hatua ya kwanza ni kila mmoja kujieleza ,ya pili ni kila mmoja kutathmini, then maamuzi ya kuonana ama kutokuonana, wewe kama hujui tafadhali usipotoshe watu!
 
Back
Top Bottom